Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Licha ya promo kuuuubwaaaa na kelele kibaaaoooo......but niko live hapa kwenye Fiesta, mpk muda huu sijaona kikubwa cha kutisha kilichofanywa,show zimepoa hakuna amsha amsha zile tulizozoea....KWA KWELI HAMNA JIPYA!! Hayo ni Maoni yangu!!