Tigo fiesta Dar:Mpaka sasa sijaona jipya la kushtua.

Tigo fiesta Dar:Mpaka sasa sijaona jipya la kushtua.

Licha ya promo kuuuubwaaaa na kelele kibaaaoooo......but niko live hapa kwenye Fiesta, mpk muda huu sijaona kikubwa cha kutisha kilichofanywa,show zimepoa hakuna amsha amsha zile tulizozoea....KWA KWELI HAMNA JIPYA!! Hayo ni Maoni yangu!!
Kalale Usijichoshe Kama Hufurahii, Waachie Wenyewe Waliozoea
 
Licha ya promo kuuuubwaaaa na kelele kibaaaoooo......but niko live hapa kwenye Fiesta, mpk muda huu sijaona kikubwa cha kutisha kilichofanywa,show zimepoa hakuna amsha amsha zile tulizozoea....KWA KWELI HAMNA JIPYA!! Hayo ni Maoni yangu!!
Kalale Usijichoshe Kama Hufurahii, Waachie Wenyewe Waliozoea ITAPENDEZA ZAIDI
 
Licha ya promo kuuuubwaaaa na kelele kibaaaoooo......but niko live hapa kwenye Fiesta, mpk muda huu sijaona kikubwa cha kutisha kilichofanywa,show zimepoa hakuna amsha amsha zile tulizozoea....KWA KWELI HAMNA JIPYA!! Hayo ni Maoni yangu!!
Kalale Usijichoshe Kama Hufurahii, Waachie Wenyewe Waliozoea ITAPENDEZA ZAIDI
 
Hihihiii... waandaaji washapiga mpunga wao wewe hata usipoona la maana haisaidii.. Mi hua siendi matukio kama haya. Bora ninywe bia nijue nimeingiza kitu kipya tumboni..
we una mawazo mazuri..vitu vya kijumuiya sishiriki miye
 
Wao hawajali maana washaingiza hela Yao
Poleni mliokwenda ........by the way hebu tuambieni mmejifunza nini huko

Ova
 
Back
Top Bottom