Tigo Internet Prices have Skyrocketed

Edson Silumbe

Member
Joined
Nov 27, 2010
Posts
52
Reaction score
27
Greetings folks,

I am writing to air my disappointment with tiGo Tanzania data prices!
Every day i pay Tshs 2000 for a 1Gb Internet Bundle!
Surprisingly,Today i can only get 800 Mb at the same price,a significant reduction of 200Mb frm their package!
This is hilarious and a new form of theft to an already squeezed customer[emoji30][emoji30][emoji30]
 
huduma ya mawasiliano ni anasa kwa Tanzania-sijui TCRA wanafanya kazi gani,kama mjuavyo makampuni ya simu yapo katika kundi la oligopoly market hivyo labda makampuni mengine nayo ikawa hivyo
 
1GB = 1024MB ukikotoa wamepunguza 224MB ni nyingi sana. 200MB kwa kifurushi cha siku ni 1000/=.

Harufu ya wizi kabisa hapa.
 
Nilivyoona tu! Hivyo nikaghairi haraka sana nikarudi voda nikakuta napata kitu kizima nikanunua tigo endeleeni kusubiri.
 
Nilishaga toa line ya Tgo University Offer tangu mwaka 2017 baada ya kupunguza bundle zao kwa kiasi kikubwa sana bora kutumia Airtel ,Voda au Halotel kuna unafuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…