mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Mimi kinachoniuma promotion kibaoooooo huduma mbovuuuuu na hamshtuki wala kutoa maelezo kwa nini huduma iko hivo....kama huawei wameshindwa kazi jamani kuna haja ya kuendelea kuwang'ang'ania ? kwa nini kila siku msemwe nyie tu au ndio msharidhika na mlichokipata ???? mnaboa sana aisee