Tigo ku-renew line imekuwa ni kitu kisichowezekana tena?

Tigo ku-renew line imekuwa ni kitu kisichowezekana tena?

leo.leo

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2013
Posts
406
Reaction score
214
Kwa masikitiko makubwa naandika baada ya tigo kukwama kunirudishia line yangu hewani iliyopotea karibu mwezi sasa na line hiyo niliisajili kwa kutumia namba ya NIDA .

Line nilipoteza tarehe 26 july 2020,na kwa sababu ya changamoto ya mtandao wa police loss report nikaja kupata loss report mapema august, na kuipeleka tigo ili waweze nilirudishia hiyo line hewani.

Katika hatua za kurenew kila kitu cha awali kuhusu kuweka alama za vidole nk ilikuwa inaenda sawa ila nikiweka line kwenye simu line inaandika registration failed, Tigo shops mbili kwa wakati tofauti wame report back office na hii ni wiki ya nne bila mafanikio.

Wao wanadai ni tatizo si la mtu mmoja na linafanyiwa kazi,ila kwa wiki nne hizi bila kupata suluhisho inasikitisha ukizingatia wengine tunaishi kwa kufanya bishara na watu kupitia simu na line uliyotumia zaidi ya miaka kumi ndio inafahamika na wadau.

Tigo jalini wateja wenu
 
nenda makao makuu yao. usikubali kupoteza wateja kwa sababu ya uzembe wa tgo
nimeenda tigo shops mbili JMall na MlimaniCity, na wanasema hata nikienda makao makuu hatua nitazofanya ni kama hizi nilizofanya tigo shops,ila jumatatu itanibidi nijaribu kufika makao makuu labda nitapata msaada zaidi
 
0713123059 kuna jamaa anaitwa Said alikuwepo Makumbusho TIGO HQ, niliwahi kurenew line mwaka juzi ikawa na hiyo shida ya kuandika registration failed.
Nilipiga trip sana.
Kuna siku nikawa namwelezea mhudumu wa kike pembeni yake kama shombe hivi jinsi ninavyosumbuka na hiyo shida. Said akasema nimpe hiyo simcard aishughulikie, dk 2 tu kitu ikawa hewani.
 
0713123059 kuna jamaa anaitwa Said alikuwepo Makumbusho TIGO HQ, niliwahi kurenew line mwaka juzi ikawa na hiyo shida ya kuandika registration failed.
Nilipiga trip sana.
Kuna siku nikawa namwelezea mhudumu wa kike pembeni yake kama shombe hivi jinsi ninavyosumbuka na hiyo shida. Said akasema nimpe hiyo simcard aishughulikie, dk 2 tu kitu ikawa hewani.
shukrani, nitamtafuta jumatatu
 
Pole Mkuu mara nyingi issue ikishakuwa yaMoto oficin. Mtafute mdau private mpange chap tu inarudishwa.
 
Huo upuuzi wa kupelekana polisi kisa loss report sijui na bla blah zisizo na mpango aheri kununua line mpya tu. Contacts weka iCloud ama Google kisha unawatwangia wateja wako upya kulikoni usumbufu utakaoupata ku renew line.
 
Kwa masikitiko makubwa naandika baada ya tigo kukwama kunirudishia line yangu hewani iliyopotea karibu mwezi sasa na line hiyo niliisajili kwa kutumia namba ya NIDA .

Line nilipoteza tarehe 26 july 2020,na kwa sababu ya changamoto ya mtandao wa police loss report nikaja kupata loss report mapema august, na kuipeleka tigo ili waweze nilirudishia hiyo line hewani.

Katika hatua za kurenew kila kitu cha awali kuhusu kuweka alama za vidole nk ilikuwa inaenda sawa ila nikiweka line kwenye simu line inaandika registration failed, tigo shops mbili kwa wakati tofauti wame report back office na hii ni wiki ya nne bila mafanikio.

Wao wanadai ni tatizo si la mtu mmoja na linafanyiwa kazi,ila kwa wiki nne hizi bila kupata suluhisho inasikitisha ukizingatia wengine tunaishi kwa kufanya bishara na watu kupitia simu na line uliyotumia zaidi ya miaka kumi ndio inafahamika na wadau.

Tigo jalini wateja wenu

Au nenda TCRA kibiashara hio haifai
 
Huo upuuzi wa kupelekana polisi kisa loss report sijui na bla blah zisizo na mpango aheri kununua line mpya tu. Contacts weka iCloud ama Google kisha unawatwangia wateja wako upya kulikoni usumbufu utakaoupata ku renew line.
niliwahi kufanyiwa ujinga kama huo na mtandao wa TTCL, nikatafuta laini mpya
 
Kwa masikitiko makubwa naandika baada ya tigo kukwama kunirudishia line yangu hewani iliyopotea karibu mwezi sasa na line hiyo niliisajili kwa kutumia namba ya NIDA .

Line nilipoteza tarehe 26 july 2020,na kwa sababu ya changamoto ya mtandao wa police loss report nikaja kupata loss report mapema august, na kuipeleka tigo ili waweze nilirudishia hiyo line hewani.

Katika hatua za kurenew kila kitu cha awali kuhusu kuweka alama za vidole nk ilikuwa inaenda sawa ila nikiweka line kwenye simu line inaandika registration failed, tigo shops mbili kwa wakati tofauti wame report back office na hii ni wiki ya nne bila mafanikio.

Wao wanadai ni tatizo si la mtu mmoja na linafanyiwa kazi,ila kwa wiki nne hizi bila kupata suluhisho inasikitisha ukizingatia wengine tunaishi kwa kufanya bishara na watu kupitia simu na line uliyotumia zaidi ya miaka kumi ndio inafahamika na wadau.

Tigo jalini wateja wenu
Hyo line itakua na hela 2.. mim nakumbuka nlpoteza cm na line yangu ilkua na hela mingi zaid ya 300k.. bob had kuja kuipata hyo line ilikua mtiti wa hatar tangu cku hyo nna namba za mitandao yote na nawapa wa2 wangu hzo namba zot n cweki tena hela kwa cm zaid 50k..
 
Hyo line itakua na hela 2.. mim nakumbuka nlpoteza cm na line yangu ilkua na hela mingi zaid ya 300k.. bob had kuja kuipata hyo line ilikua mtiti wa hatar tangu cku hyo nna namba za mitandao yote na nawapa wa2 wangu hzo namba zot n cweki tena hela kwa cm zaid 50k..
Nakumbuka haikuwa na hela, tatizo lake wanasema ni technical linahusiana na system yao ,kifupi kwenye karatsi yangu imeandikwa "HLR".Sasa ninachokosa matumaini kama karibu wiki nne hakuna matokeo chanya nashindwa kujua hatma yake
 
Tigo hivi mpaka mfokewe ndio muelewe kwamba nimekwazika,kwanini tatizo hili halifiki mwisho, hivi mnafahamu madhara ninayopata mteja wenu kwa kutopatikana hewani kwa mwezi mzima kwa namba hii ambayo nimekuwa nikiitumia kibiashara?
 
Mimi nilirenew week iliyopita ikarudi namba vizuri lakini tatizo ni upande wa TIGO PESA mpaka leo hawajanifungulia kabisa sasa sijui tatizo likowapi
 
Mimi nilirenew week iliyopita ikarudi namba vizuri lakini tatizo ni upande wa TIGO PESA mpaka leo hawajanifungulia kabisa sasa sijui tatizo likowapi
mimi wananiambia kuna namba zinagoma kurenew kwa sababu za kitechncal ila wananiambia wafanyia kazi ,tatizo haijulikani ni lini na imechukua muda sana
 
Kwa masikitiko makubwa naandika baada ya tigo kukwama kunirudishia line yangu hewani iliyopotea karibu mwezi sasa na line hiyo niliisajili kwa kutumia namba ya NIDA .

Line nilipoteza tarehe 26 july 2020,na kwa sababu ya changamoto ya mtandao wa police loss report nikaja kupata loss report mapema august, na kuipeleka tigo ili waweze nilirudishia hiyo line hewani.

Katika hatua za kurenew kila kitu cha awali kuhusu kuweka alama za vidole nk ilikuwa inaenda sawa ila nikiweka line kwenye simu line inaandika registration failed, Tigo shops mbili kwa wakati tofauti wame report back office na hii ni wiki ya nne bila mafanikio.

Wao wanadai ni tatizo si la mtu mmoja na linafanyiwa kazi,ila kwa wiki nne hizi bila kupata suluhisho inasikitisha ukizingatia wengine tunaishi kwa kufanya bishara na watu kupitia simu na line uliyotumia zaidi ya miaka kumi ndio inafahamika na wadau.

Tigo jalini wateja wenu
Nenda mahakamani ukadai damages, kurudishiwa laini yako halali uliyosajili kwa kitambulisho chako ni haki yako!
 
Back
Top Bottom