Tigo ku-renew line imekuwa ni kitu kisichowezekana tena?

Tigo ku-renew line imekuwa ni kitu kisichowezekana tena?

0713123059 kuna jamaa anaitwa Said alikuwepo Makumbusho TIGO HQ, niliwahi kurenew line mwaka juzi ikawa na hiyo shida ya kuandika registration failed.
Nilipiga trip sana.
Kuna siku nikawa namwelezea mhudumu wa kike pembeni yake kama shombe hivi jinsi ninavyosumbuka na hiyo shida. Said akasema nimpe hiyo simcard aishughulikie, dk 2 tu kitu ikawa hewani.
Kwahiyo kumbe wanafanya makusudi?
 
Huo upuuzi wa kupelekana polisi kisa loss report sijui na bla blah zisizo na mpango aheri kununua line mpya tu. Contacts weka iCloud ama Google kisha unawatwangia wateja wako upya kulikoni usumbufu utakaoupata ku renew line.
Hujawahi kufanya biashara wewe
 
Hyo line itakua na hela 2.. mim nakumbuka nlpoteza cm na line yangu ilkua na hela mingi zaid ya 300k.. bob had kuja kuipata hyo line ilikua mtiti wa hatar tangu cku hyo nna namba za mitandao yote na nawapa wa2 wangu hzo namba zot n cweki tena hela kwa cm zaid 50k..
Huweki zaidi ya 50k? Kwahiyo wewe malengo yako ya kibiashara ni kufanya biashara za maandazi tu, si ndio?
 
Huweki zaidi ya 50k? Kwahiyo wewe malengo yako ya kibiashara ni kufanya biashara za maandazi tu, si ndio?
Mkuu kwan transactions zote lazima zifanyike kupitia Sim ? Au unafanya Sim ndio kibubu ?
 
sio tigo tu,mimi nina airtel nili renew ina miezi mi4 sasa upande wa airtel money haufanyi kazi,ukpga menu Haiji kbsa nimepga customer care wanadai wanashughulikia tatizo,nimewaacha watajua wenyewe huu mwezi wa 4 sasa.

hela naweka hukoo kwenye laini nyingine,hii mitandao ya tz ukipoteza laini kama huwezi tafuta laini yako nyingine Basi usiwe mtu mwenye hasira za karibu.
 
Back
Top Bottom