FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwahiyo kumbe wanafanya makusudi?0713123059 kuna jamaa anaitwa Said alikuwepo Makumbusho TIGO HQ, niliwahi kurenew line mwaka juzi ikawa na hiyo shida ya kuandika registration failed.
Nilipiga trip sana.
Kuna siku nikawa namwelezea mhudumu wa kike pembeni yake kama shombe hivi jinsi ninavyosumbuka na hiyo shida. Said akasema nimpe hiyo simcard aishughulikie, dk 2 tu kitu ikawa hewani.
Hujawahi kufanya biashara weweHuo upuuzi wa kupelekana polisi kisa loss report sijui na bla blah zisizo na mpango aheri kununua line mpya tu. Contacts weka iCloud ama Google kisha unawatwangia wateja wako upya kulikoni usumbufu utakaoupata ku renew line.
Imekuwaje hadi wakawa hacked?They've been hacked recently
Sasa biashara inakufa line ikifa? Au ulikuwa unapigia dili za "Tuma kwenye namba hii"?Hujawahi kufanya biashara wewe
Huweki zaidi ya 50k? Kwahiyo wewe malengo yako ya kibiashara ni kufanya biashara za maandazi tu, si ndio?Hyo line itakua na hela 2.. mim nakumbuka nlpoteza cm na line yangu ilkua na hela mingi zaid ya 300k.. bob had kuja kuipata hyo line ilikua mtiti wa hatar tangu cku hyo nna namba za mitandao yote na nawapa wa2 wangu hzo namba zot n cweki tena hela kwa cm zaid 50k..
Mkuu kwan transactions zote lazima zifanyike kupitia Sim ? Au unafanya Sim ndio kibubu ?Huweki zaidi ya 50k? Kwahiyo wewe malengo yako ya kibiashara ni kufanya biashara za maandazi tu, si ndio?