stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 519
Hatimaye skyscraper hili refu nalo litapata mpangaji kidogo wa maana ,asee linatia huruma kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka pichaHatimaye skyscraper hili refu nalo litapata mpangaji kidogo wa maana ,asee linatia huruma kwa sasa.
Nshaweka tiyari mkuuWeka picha
Dah sasa vijiwe vyetu vya kupata maji yetu yale ya ilala hapo karibu kituo cha mafuta cha BP na hapo mawasiliano Tower vitakuwa vinajaa watu wa hii Kampuni.....Hatimaye skyscraper hili refu nalo litapata mpangaji kidogo wa maana ,asee linatia huruma kwa sasa.
Kabisa mkuu, na Wale jamaa wengi sana wapo karibia 400Dah sasa vijiwe vyetu vya kupata maji yetu yale ya ilala hapo karibu kituo cha mafuta cha BP na hapo mawasiliano Tower vitakuwa vinajaa watu wa hii Kampuni.....
Hiko nako ni kipengele😂😂😂Hilo jengo naskia mifumo yake ya choo sio rafiki ndio maana halipati wapangaji😅
Mi nahisi itakuwa ni bei kitonga ikizingatiwa ni la serikali......pia nasikia Tigo Tanzania imeuzwa kwa mwekezaji mwingineKwahiyo ndio wapandishe gharama za vifurushi!? Tunawachangia bajeti ya kuhama!! [emoji848]
Tayari vifurushi vyao vishabadilika.Mi nahisi itakuwa ni bei kitonga ikizingatiwa ni la serikali......pia nasikia Tigo Tanzania imeuzwa kwa mwekezaji mwingine
Km aliyedesign alikuwa mbongo sitashangaaHilo jengo naskia mifumo yake ya choo sio rafiki ndio maana halipati wapangaji[emoji28]
Kama zipi?Ukiachana na uzuri wa jengo,pia ni eneo zuri kibiashra,kuna taasisi nyingi hili eneoView attachment 2205903
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Naona hapa tigo watajitanua sana kiofisi,pale walipokuwa mwanzo derm house ilikuwa haistaili tena kukaa paleUkiachana na uzuri wa jengo,pia ni eneo zuri kibiashra,kuna taasisi nyingi hili eneoView attachment 2205903
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Eti mambilioni yaliyalala pale wamekuja kumkodishia dkt rahabu yule tiba mbadala ya vidonda vya tumboHatimaye skyscraper hili refu nalo litapata mpangaji kidogo wa maana ,asee linatia huruma kwa sasa.
Kuna mmoja kadesign jengo la ghorofa nne, Kama apartment lakini vyoo kwa wanaokaa juu mpaka washuke chiniKm aliyedesign alikuwa mbongo sitashangaa
Ni km wabongo waliodesign Ile barabara ya kibaha super highway,hovyo kabisa
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app