A
Anonymous
Guest
Kuna mchezo mchafu unafanyika kwenye branch ya Mbagala Zakhiem upande wa Lipa kwa simu, HQ wanasema ni bure kupata number ya Lipa kwa simu ila ukifika kwenye hii branch Wanatoza 10,000 kwa ajili ya hii huduma.
Je, huu wizi umebarikiwa na manager wa branch?
Je, huu wizi umebarikiwa na manager wa branch?