Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi ama kukosa right information? Tigo ni ma imposters tu! They actually don't give a flying fvck about your money and services they provide!Tatizo uchumi amigo
My life is mine to remember
Tigo ni wangese kama jina lao lilivyo..KMMk zao..kila siku maji kupwaa maji kujaa..(mtaniwia radhi)
Basi inawezekana shemeji yako anafanya kazi tigo,Dakika 180
Gb 2
Sms 100
Siku 7
My life is mine to remember
Ex girlfriend wangu anahusika hapo
Asha pewa zake katulia anatuzoom tuuHivi yule wakili aliyesema atayashitaki makampuni ya simu aliishia wapi?
Uzi wake huu hapa Bashir Yakub: Nitayashitaki makampuni manne ya simu
. wanapandisha gharama kimya kimya. halafu wana-double gharama. mimi nabakia kupokeaga simu tu. bundle zote nimezihamishia TTCL na halotel. tigo ipo kwa ajili ya kupigiwa na kupokea meseji tu.Habarini wadau na wanajf wote. Hongereni kwa kuuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya ili kuzuia maambukizi mapya ya covid-19.
Nauliza Bei mpya ya vifurushi vya internet vya wiki kwa mtao wa tigo vimebadilika kutoka sh 3000/=?
nimejaribu kumnunua lakini napata and ya kuwa Sina salio la kutosha ilihali nimejaza vocha za sh 4000/= Kama Kuna mwenye kuyajua mabadiliko anisaidie tafadhali.