tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

kelele ming za nini tigo tigo mambo si uhuru bana tupa tigo weka voda au airtel hamna kumfundisha mwiz asikuibie. Wote wez TCR nini sijui na wenyewe wez wale wale tu hamna msahada hapo.
 
Kweli Tigo wezi, mimi nikimhamishia mtu salio, halifiki, ukiwauliza wanasema sisi hatujui, sasa ajue nani kama sio wizi?
 
Mitandao yote ni sawa tu kuna issue moja ambayo haipi wazi promo ikitangazwa huwa wanasahau kuweka vat then wanakwambia vigezo na mashart kuzingatiwa. ukiambiwa 1/sec inamaanisha ni 78/dk +vat so ni swala la mitandao kuwa wazi na huduma zao
 
isingekuwa tatizo la tigo wengine tungemsikia tu hewn lakini leo tumefanikiwa kuijua hata sura yake kweli inawezekana uyu dada na bangi anavuta
 

twende wapi sasa mdau!...ila ni kweli tigo ni ghali sasa ivi. angalao airtel. Lakini kukimbia mtandao sababu ya gharama basi tutajikuta una line tatu za mtandao mmoja.
 
Ashawahi kusema kule facebook kwamba thread yake hapa jukwaani haiwezi kukaa,coz money talks..mbona hii bado ipoo,mods vipi mmejisahau au
 

ahsante mimi nina line tatu tgo,airtel na voda lakn ndugu zangu tigo wanakula hela sio mchezo mimi tena hii imeanza cku za karibuni asubuhi nlikuwa na elfu 7 sa hz elfu tatu na sijafikisha hata dakika 5 katika maongezi yangu ya leo,ni wezi mi hata ciitaki tena,
 
biashara matangazo mana cjajua kilichomfanya aweke hiyo kamera ivo nani ili imumulike ktk manyonyo sio??????
alijipodoa kinoma na kujiandaa kuweka ma makeup ju ya mimacho kinoma yani loh!mbili unabahati zamda ramadhani hajakusikia vizuri unavolitamka hilo neno honest mana alimshushua yule muigizaji aliyekua analitamka kama ww kua kama huwezi luga waachie wenyewe......kama huwezi kutamka maneno ya kiinglish fresh we ongea tu kiswahili mana watu wanaelewa
na cjui una maanisha nn kusema mm ndio diva bwana alafu unatamani sana kuongea kama wamarekani ila huwezi na cjui utaweza lini sasa sory kama nimekuboa ila huo ndio ukweli kama ulivowachana tigo na mm ndio nimekuchana ivovio ok
 
isingekuwa tatizo la tigo wengine tungemsikia tu hewn lakini leo tumefanikiwa kuijua hata sura yake kweli inawezekana uyu dada na bangi anavuta
we unaakili umelionaje hilo mana mtu anaichana tigo ila maudhui yake aliyoiwekea hapo huonesha kama alitaka tu watu wamujue fresh sio koz ya tigo mana mtu anaongea kwa hasira ila anajilamba na kutengeneza hair kila sekunde huku akihakikisha jicho halitoki ktk position aliyooanza nayo ya kulilegeza loh! yatamshinda
 
Nimeipenda.She's creative.The way she chose to present her self and her talking points is appealing.She concentrated on her strengths and i dont see netin wrong wit dat.
@Saint Ivuga.Are u reffering to dis diva chick kuhusu kutomwacha ukimpata?
 
Nimeipenda.She's creative.The way she chose to present her self and her talking points is appealing.She concentrated on her strengths and i dont see netin wrong wit dat.
@Saint Ivuga.Are u reffering to dis diva chick kuhusu kutomwacha ukimpata?

Agreed!

She is beautiful, brash, and outspoken.

I like her very much despite what others think of her.
 
kanifurahisha kumtimua yule Alpha baada ya kusema mambo yake ya mapenzi hawezi kuongea redioni coz ni private wakati kaenda kipindi cha mahab mwenyewe

nadhani bange anayovuta huyu dada siku hizi sio ile ya arusha wala mbeya, labda ya msasani
Hahahahahahaha!! bangi ya Msasani ipo na tofauti gani na hizo nyingine mkuu??
 
aisee mbona tigo mmekua kama mgao wa umeme mara mda huu mpo hewani baada ya mda hampatikani 2waeleweje?
 
tiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiGOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.....................jina tu lenyewe linatosha kuhama mtandao.......

Hawa dawa yao ni kuwatema tu na mnawapa kichwa mnapoendelea kutumia mtandao wao........Hamia Airtel na Voda maana wana nafuu kidogo (japo nao wana yao maana Voda wakiamua na liM-PESA lao kama majuha fulani vile)
 

mkuu tuache utani so far ni voda pekee ndio wameweza kumantain huduma bora wengine ni hoi!tatizo voda wanachota manoti yetu halafu hawalipi kodi kadri wanavyopata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…