Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Nilishawastukia muda mrefu sana, nikaiweka pembeni line yao, leo nikakumbuka kuwa wananidai nikaweka hwani na kulipa deni lao, then nimeifukia tana....
Sasa hivi nafurahia maisha na Zantel unaweka buku unaongea zaidi ya dk 40.
HAO ZANTEL WANAVUTIA BIASHARA TU ILI WAPAYE WATEJA THEN
CHA MOTO MTAKIONA!
TCRA WANAPAKA WANJA
WKT WANANJI TUNAPATA
tabu