BY THE WAY: ZAIN aka AIRTEL IMEKUWA MORE WORSE OVER COUPLE OF WEEKS NOW: MFANO JANA NIMEPIGA ZAIN to ZAIN NIKATUMIA DAKIKA 6, GHARAMA ILIKUWA 1060/=
HII MAANA YAKE NIMEKATWA 2.94/= KWA SEKUNDE MOJA:
USHAURI: VODA KWA VODA are relatively down. TIGO NA ZAIN are equally the same na wanatuibia.
Zantel ni mtandao bora zaidi kuliko vyote
Nimepiga tena na jawabu ni kama ifuatavyo;
nilikuwa na Tshs 6235.50 nimeongea dakika 1 na sekunde 08 ambazo ni sekunde 68, salio lililobaki ni Tshs 6147.10
nikitoa napata 88.40 nikigawanya ni Tshs 1.3, bado sijaona hiyo Tshs 3 imekatwa wapi hapa?
hawa tigo walitangaza kwamba uki top up salio lako kwanzia buku litakua doubled. cha ajab kila nkiweka wanauchuna af kesho yake wanajifanya kuommba radhi na wananipa dk.13 za kuongea. nikafanya calculcation nikagundua hata hzo dakika wanazokupa sio actual. je hili tatizo ni kwang peke yang au kuna wakuu wengine limewakuta?