figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
umemkosea heshima mkuu.mambo yote yanayo ongelewa hapa ulishaona ofice zao jf.mfano yule aliyemwagiwa tindikali ana ofice hapa?Wapigie uwaambie sasa hapa ni ofisi yao?
lugha ya biashara ili uvutike yakhe!!
Wapigie uwaambie sasa hapa ni ofisi yao?
Ni vizuri uhakikishe kuwa umeamka sawasawa kabla hauchagusa keyboard kuchangia hapaWapigie uwaambie sasa hapa ni ofisi yao?
Ni vizuri uhakikishe kuwa umeamka sawasawa kabla hauchagusa keyboard kuchangia hapa
DSM tunaibiwa.Labda zile dk kumi wanazokupa baada ya kuongeza sh elfu moja ndio mara mbili yao ila hii nikwa hapa Dom cjui maeneo mengine ukiongeza kiasi hicho wanakupa bei gani