Nakushauri,
Hakikisha unaipata ID yako wanayoihitaji, fika na waonyeshe ili wathibitishe. Katika hili usiende kwa hawa customer care, WAAMBIE wakupe senior kwao ndio akusikilize. Kuwa imara na hakikisha unazo details zote za tangu line ilipokatwa mawasiliano yako. Wakikurejeshea, OMBA KUJUA NI NANI ALIYEIKATISHA MAWASILIANO YAKO.
Mwisho utaamu mwenyewe na sijui kama utatuletea feedbacks hapa jamvini, UWASHTAKI au UWASAMEHE kwa yote yaliyokusibu. Ila ukiwashtaki watakulipa pesa nyingi sana, tena kabla hujashtaki nenda katoe pia taarifa pale TCRA.
'Kazi ni kwako'.