Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Hizi tabia za kufanya simu zetu kama mabango ya matangazo yanazidi kunikera kwa siku unaweza kupokea hata text 10 za ofa zao wakati wanajua kuwa wanatukera.
Nitakuja kuwashitaki.
Nitakuja kuwashitaki.