Tigo na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe

Tigo na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe

MASSOUD AHMED

Member
Joined
May 8, 2022
Posts
15
Reaction score
7
Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu.

Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu hata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli!

Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi. Waondoshe bhana au wabadilishe utaratibu
 
Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu.

Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu ata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli...

Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi.Waondoshe bhana au wabadilishe utaratibu
Hivi kwani tumeunganishwa na kikundi cha watu??
Mimi mbona sija experience??
Au niliounganishwa nao wanalipa Kwa wakati?
 
Back
Top Bottom