Tigo na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe

Tigo na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe

Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu.

Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu ata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli...

Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi.Waondoshe bhana au wabadilishe utaratibu
Ndio maana wanasema "Terms and conditions applied"
Kabla ya kutumia huduma soma na kuelewa hayo masharti na kuyaelewa.
 
Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu.

Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu ata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli...

Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi.Waondoshe bhana au wabadilishe utaratibu
Ndio maana wanasema "Terms and conditions applied"
Kabla ya kutumia huduma soma na kuelewa hivyo vigezo na masharti uelewe vizuri kabla ya kutumia huduma yao.
 
Me nimeunganisha watu 4 na huwa hawalipi mpaka wafungiwe. Ila sio wasumbufu siku iyo iyo wanayofungiwa hulipa mda uwo uwo.
Nadhani kuna kusahau esp kwa tusiotumia sana laini… mm ya mwezi huu nilisahau, mpaka juzi nikawa naunga kifurushi nashangaa hakiungiki pesa inarudishwa Tigo pesa. Nikakumbuka sijawalipa 😂 nikawalipa nikaendelea na maisha.
 
Nadhani kuna kusahau esp kwa tusiotumia sana laini… mm ya mwezi huu nilisahau, mpk juzi nikawa naunga kifurushi nashangaa hakiungiki pesa inarudishwa Tigo pesa. Nikakumbuka sijawalipa 😂 nikawalipa nikaendelea na maisha
Yeah inawezekana
 
Shida nini mbona sisi tunaenda nayo sawa tu. Mimi postpaid yangu ya 60k data only inaniokoa unyama
Amia halotel utaenjoy sana kaka. Yaani unakuwa unanunua mwenyewe tu kutokana na matumizi yako alafu bando lake linakaa sana.
 

Attachments

  • InShot_20231222_220513278.jpg
    InShot_20231222_220513278.jpg
    1 MB · Views: 38

Attachments

  • InShot_20231222_220513278.jpg
    InShot_20231222_220513278.jpg
    1 MB · Views: 41
Yani tunapata tabu sana aiseee ila wa kwangu naona wamestuka tukifungiwa tu wanalipia chap😂😂😂
 
Back
Top Bottom