Ndio maana wanasema "Terms and conditions applied"Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu.
Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu ata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli...
Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi.Waondoshe bhana au wabadilishe utaratibu
AwachapeDaah wamekuangusha.
TIN number na business licenceSifa ya kujiunga mwenyewe ni ipi??
Ndio maana wanasema "Terms and conditions applied"Hili swala la Tigo Na huduma yao ya postpaid bundle hatuitaki waiondoshe kwasababu ni kama aina flani ya kum-blackmail mtu.
Imagine unaunganishwa kwa kikundi na watu ata usiowajua then asipolipa mmoja wao nyote mnazuiwa kutumia laini kweli...
Wasipoangalia mitandao ipo mingi watapoteza wafuasi.Waondoshe bhana au wabadilishe utaratibu
Ok sawa, nadhani Mimi niliwapa hizo documents, Kwa hiyo nitakuwa nilisajiwa peke yangu.TIN number na business licence
Ambapo hao hao wasajili wana namna ya kukupatia licence na mambo yakaenda.
Toka ujifunze somo la shobo unasumbua Sanalii πππNani kakupa mamlaka ya kuzungumzia wateja wengine? Acha shobo
Nadhani kuna kusahau esp kwa tusiotumia sana lainiβ¦ mm ya mwezi huu nilisahau, mpaka juzi nikawa naunga kifurushi nashangaa hakiungiki pesa inarudishwa Tigo pesa. Nikakumbuka sijawalipa π nikawalipa nikaendelea na maisha.Me nimeunganisha watu 4 na huwa hawalipi mpaka wafungiwe. Ila sio wasumbufu siku iyo iyo wanayofungiwa hulipa mda uwo uwo.
Yeah inawezekanaNadhani kuna kusahau esp kwa tusiotumia sana lainiβ¦ mm ya mwezi huu nilisahau, mpk juzi nikawa naunga kifurushi nashangaa hakiungiki pesa inarudishwa Tigo pesa. Nikakumbuka sijawalipa π nikawalipa nikaendelea na maisha
Hawana π wapuuzi kweli yan, wanatunyima uondo.Vodacom hawana hii huduma?
Amia halotel utaenjoy sana kaka. Yaani unakuwa unanunua mwenyewe tu kutokana na matumizi yako alafu bando lake linakaa sana.Shida nini mbona sisi tunaenda nayo sawa tu. Mimi postpaid yangu ya 60k data only inaniokoa unyama
Daah wamekuangusha.
Amia Halotel unakuwa unaunga mwenyewe kutokana na matumizi yako. Bando zake zinakaa sana inaitwa M2MAisee si tupo watatu, nimeunga ya 40k mbayo ni GB 48 wao wameunga za 15k wote wawili. Aisee ata hawalipii inanilostisha sana.
Now kipoHawana π wapuuzi kweli yan, wanatunyima uondo.
Wanayo ya mchongo wanayoiita unlimited.. 115k,120k, 150k,250k
Ila nasikia ukifika GB flan, wanaanza kuminya speed.
Kipo ila kina anzia elfu 15Vodacom hawana hii huduma?
15k sio nyingiKipo ila kina anzia elfu 15
Nenda vodashop na Tin number na kitambulisho cha NIDA wata kuuunga afu enjoy kipo fasta hichoo kina kasii sana yaani15k sio nyingi
Kinapatikana aje tukijaribu
Naomba connection na mimi nipate hiyo huduma tafadhaliππ kazi ipo.
Ongeeni vizuri na watu, mbona wengine tuliungwa bila leseni za biashara?