K11 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2014 Posts 3,447 Reaction score 11,274 Jun 30, 2024 #41 Omary Mahayu said: Amia halotel utaenjoy sana kaka. Yaani unakuwa unanunua mwenyewe tu kutokana na matumizi yako alafu bando lake linakaa sana. Click to expand... Vigezo vya kujiunga na huduma hii vikoje?
Omary Mahayu said: Amia halotel utaenjoy sana kaka. Yaani unakuwa unanunua mwenyewe tu kutokana na matumizi yako alafu bando lake linakaa sana. Click to expand... Vigezo vya kujiunga na huduma hii vikoje?
The mission 2017 JF-Expert Member Joined Aug 14, 2017 Posts 1,748 Reaction score 3,229 Jul 1, 2024 #42 Sisi tupo wa3. Kila mtu analipa kwa wakati.
Ahead JF-Expert Member Joined Jan 11, 2013 Posts 2,292 Reaction score 2,566 Jul 1, 2024 #43 Tigo postpaid ni huduma nzuri sana
Billion Dolar JF-Expert Member Joined Apr 7, 2021 Posts 1,292 Reaction score 2,953 Jul 1, 2024 #44 Mi natumia ya 15k sijawahisumbuka nliungwa peke yangu
Omary Mahayu Member Joined Apr 8, 2024 Posts 31 Reaction score 27 Jul 2, 2024 #45 K11 said: Gharama za awali za huduma hiyo kwa ajili ya kujiunga zikoje? Click to expand... Ni bure kabisa. Aulipii kusajiliwa
K11 said: Gharama za awali za huduma hiyo kwa ajili ya kujiunga zikoje? Click to expand... Ni bure kabisa. Aulipii kusajiliwa