Tigo nitoleeni tangazo lenu haraka sana

Tigo nitoleeni tangazo lenu haraka sana

kitonsa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
1,211
Reaction score
2,649
Niende kwenye mada.

Kama Kuna muhusika wa kampuni ya tigo humu ndani anifikishie amri yangu kwa mtu anayeusika, kuwa sitaki kusikia tangazo lao la karibu dakika mzima wakati napiga simu.

Yaani unatumia dakiki nzima kusikiliza vijielezo vyenu nikasajili simu wakati nimesha sajili? Mwisho wa maelezo simu yenyewe aipatikani.

Chonde chonde nitoleeni huu ujinga haraka sana.
 
PATA PATA

Maanina hizi ndio matangazo zinanikera.

Mwanzoni walikuwa wanatuma kupitia namba zao zilizoanzia 15…, Nikawa naziblock. Matangazo yakapungua.
Now wamekuja na majina nashindwa kuziblock sms zao. Zikiingia najua ni mishe imekuja nakuta ni ufala wao.

Piga simu 100 mara kibao, wananiambia mimi ndio nilijiunga na hizo huduma ndio maana natumiwa message za hayo matangazo, wakati huo sijawahi tumia kabisa hiyo huduma wala kuitafuta menu yake.

Waliniambia namna ya kujitoa, nikafanya hivyo lakini baada ya masaa machache nikaona message inaingia tena matangazo yao yale yale.
 
Chanzo cha mimj kuacha kutumia huo mtandao ni message zao za kila siku mara wakuambie tunakukumbusha kulipia LUKU na mitangazo kibao. Niliichoma ile line.
 
Kwakweli Tigo wanaboa na Sms zao Yaani nikero kero
Voda nao kama wanaona Wivu vile nao wanakuja kwa kasi sana
Halotel ndio bado Hawajaingia Mjini
 
Maanina hizi ndio matangazo zinanikera.

Mwanzoni walikuwa wanatuma kupitia namba zao zilizoanzia 15…, Nikawa naziblock. Matangazo yakapungua.
Now wamekuja na majina nashindwa kuziblock sms zao. Zikiingia najua ni mishe imekuja nakuta ni ufala wao.

Piga simu 100 mara kibao, wananiambia mimi ndio nilijiunga na hizo huduma ndio maana natumiwa message za hayo matangazo, wakati huo sijawahi tumia kabisa hiyo huduma wala kuitafuta menu yake.

Waliniambia namna ya kujitoa, nikafanya hivyo lakini baada ya masaa machache nikaona message inaingia tena matangazo yao yale yale.
Wanakera wanakera m koko hawa.
PIGA CHINI
 
Chanzo cha mimj kuacha kutumia huo mtandao ni message zao za kila siku mara wakuambie tunakukumbusha kulipia LUKU na mitangazo kibao. Niliichoma ile line.
Hahaha kulipia LUKU, hatari sana.
Wana ka system kao .

"Umemaliza kifurushi chako" halafu wanakupa option ya kukopa hapo hapo 1. Sawa 2. Sio sawa. Wakat huo kifurushi hakijakata.
 
Kwakweli Tigo wanaboa na Sms zao Yaani nikero kero
Voda nao kama wanaona Wivu vile nao wanakuja kwa kasi sana
Halotel ndio bado Hawajaingia Mjini
Bora sms zao ila tangazo wakati napiga simu linanipotezea muda wangu sana
 
Back
Top Bottom