tang'ana JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 11,931 Reaction score 15,849 Oct 20, 2022 #1 Toka saa 11 alfajiri nataka kumtumia mtu pesa kupitia number yangu ya simu lakini kila nikijaribu naambiwa connection error. Kuna mwingine amekutana na hiyo changamoto au ni simu yangu ndio ina tatizo?
Toka saa 11 alfajiri nataka kumtumia mtu pesa kupitia number yangu ya simu lakini kila nikijaribu naambiwa connection error. Kuna mwingine amekutana na hiyo changamoto au ni simu yangu ndio ina tatizo?
J Janja weed JF-Expert Member Joined Nov 20, 2020 Posts 3,000 Reaction score 5,606 Oct 20, 2022 #2 subiri waje huenda wanaingiza software ya kuongeza TOZO
Ali Nassor Px JF-Expert Member Joined May 6, 2022 Posts 2,384 Reaction score 3,926 Oct 20, 2022 #3 tang'ana said: Toka saa 11 alfajiri nataka kumtumia mtu pesa kupitia number yangu ya simu lakini kila nikijaribu naambiwa connection error. Kuna mwingine amekutana na hiyo changamoto au ni simu yangu ndio ina tatizo? Click to expand... Ni tatizo la mtandao tu linatokeaga mara kwa mara kwa mitandao yote ile sio tigo tu
tang'ana said: Toka saa 11 alfajiri nataka kumtumia mtu pesa kupitia number yangu ya simu lakini kila nikijaribu naambiwa connection error. Kuna mwingine amekutana na hiyo changamoto au ni simu yangu ndio ina tatizo? Click to expand... Ni tatizo la mtandao tu linatokeaga mara kwa mara kwa mitandao yote ile sio tigo tu