Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Wakuu mko vyedi najua,
Baada ya vifurushi kuwa patashida, mwaka jana November nilijiunga TIgo Post paid. Nililipia mwezi wa 11 lakini mpaka leo sijaunganishwa.
Wakala wao ananiambia zinashunghulikiwa kila siku. Mara aniambie nimeshaunganishwa wakati mimi sioni upande wangu. Kiukweli tigo rudisheni pesa yangu vinginevyo tutakutana mahakamani kwa hasara mliyonisababishia.
Baada ya vifurushi kuwa patashida, mwaka jana November nilijiunga TIgo Post paid. Nililipia mwezi wa 11 lakini mpaka leo sijaunganishwa.
Wakala wao ananiambia zinashunghulikiwa kila siku. Mara aniambie nimeshaunganishwa wakati mimi sioni upande wangu. Kiukweli tigo rudisheni pesa yangu vinginevyo tutakutana mahakamani kwa hasara mliyonisababishia.