Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mnafikiri matumizi ya nida yalikuja bure tu..??Mliposikia Mh. Lissu Rais ajaye wa Tanzania kufungua kesi ng'ambo nanyi mkajiona wajanja mkabadili jina la kampuni.
Sidhani kama mnaweza kuwakimbia wanasheria wabobezi kwa namna hiyo.
Ok yote kwa yote na Mimi laki 8 yenu napita nayo shwaah. Siwezi kumlipa YAS, Mimi simfahamu
Hakuna mabadiliko, ni sawa ubebe mzigo ukiwa kwenye gari ili usilipe nauli.Aiseee kumbe na mimi nadaiwa bustisha 64500
Nivushe plus 152400
Ushauri wako mzuri
Nchi inadawa kulikoni hizo bankMnafikiri matumizi ya nida yalikuja bure tu..??
taarifa zako zipo mpk benki kama ulikuwa haujui hilo deni siku ukienda kukopa benki, benki husika wataangalia historia yako ya mikopo hapo ndipo watakapokosa uaminifu nawewe ndo utajua haujui!..
lipeni madeni yenu ya kwenye line za simu hizo ni cv.
hivyo unajikuta wewe ni nchiNchi inadawa kulikoni hizo bank
Kama ni hivyo nchi isingekopeshwa
Ukinyimwa mkopo benki shukuru.Mnafikiri matumizi ya nida yalikuja bure tu..??
taarifa zako zipo mpk benki kama ulikuwa haujui hilo deni siku ukienda kukopa benki, benki husika wataangalia historia yako ya mikopo hapo ndipo watakapokosa uaminifu nawewe ndo utajua haujui!..
lipeni madeni yenu ya kwenye line za simu hizo ni cv.
mh! hivyo vikampuni vilivyofungiwa vilikuwa vinakutisha tu!.. nenda kwenye makampuni yaliyosajiliwa kihalali na BOTUkinyimwa mkopo benki shukuru.
Maana unachopewa na utakacholipa havina uhusiano hata kidogo.
Jamaa wa online loans waliniambia hutapata mkopo benki yoyote hapa nchini kwakuwa wananidai.
CRDB wakanipa pesa bila masharti
Vile vikampuni vilikuwa na ushenzi mwingi sanamh! hivyo vikampuni vilivyofungiwa vilikuwa vinakutisha tu!.. nenda kwenye makampuni yaliyosajiliwa kihalali na BOT