tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

TIGO MLIFIKIRI KESI YENU INAENDESHWA KISUTU? NI WIINGEREZA BABA SAFARI HII MTAKALIA 🖕
 
Mpaka sasa Lissu hajafungua mashtaka Rasmi. Hivyo endeleen kumpa madini asikwame. Angalau atapata pesa ya kununua gari kuliko kuomba omba
Afungue tu hakuna anayetishika wenyewe wenye brand name ya Tigo mabilionea mmojawapo huyo hapo tajiri wa dola na pesa za kigeni Rostam Aziz ana pesa kuliko huyo wakili wake Robert Amsterdam anayemtegemea Lisu huko uingereza aweza pambana na hiyo kesi popote duniani


View: https://youtu.be/3NhjSiyWUEI?si=jN-x8UXKiZsClV6g
 
Unaponunua Kampuni bila shaka unarithi madeni ya Kampuni mama husika. Kuna kila dalili kwamba HANORA inakiri kuwajibika kwa I'll responsibility za mmiliki wa awali. Ninaamini inayoshitakiwa na Tundu Lissu ni tiGo kwa hapa Tanzania na kwa London inayoshitakiwa na Michael Clifford ni Millcom na siyo tiGo kwa hiyo tiGo hawana jinsi yoyote ya kukwepa uwajibikaji huu kwa Tundu Lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…