tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Nimemsikia mmoja akisema imeshitakiwa kampuni siyo wamiliki.
 
Walinunua kampuni, wafanyakazi na madeni yake, wanachojaribu ni kutaka sisi tuwaamini.
 
Kwa kauli hii ya Honora ni wazi kuwa kuna jambo lilifanyika.
 
Kumbe baada ya mwaka 2019 walipoona kuna kesi imefunguliwa wakamuuzia Rostam Aziz akijiona yeye mwamba. Na mwezi wa April mwenyekiti wa millicon kajiuzulu kaona aibu itamkuta
 
Lissu akishawachota wafuasi wa CDM uwa awataki kusikia lolote.

Kwanza mzungu hajawai kuwa mwajiri wa TiGO Tanzania na wala hana ugomvi nao. Yeye alikuwa ni mwajiriwa wa Millicom U.K. LTD ndio maana ana mgogoro na kesi ipo kwenye employment tribunal huko kwao.

TiGO Tanzania awakutoa info bure bure isipokuwa kuna agent ya serikali ilitaka ipewe info za mteja (sasa kama walitumia sheria au la) maelezo hayo hakuna.

Mlolongo wote wa mzozo wao baina ya mzungu na mwajiri ilikuwa kuzuia kutaka nchi husika na mwanasiasa ambae communication zake zilikuwa zinapelekwa serikalini (Lakini si kwamba walikuwa wana track movement zake).

By now hiyo nchi inajulikana ni Tanzania na mwanasiasa mwenyewe ni Lissu. Waliobaki labda ni government agency na manager wa TiGO wa wakati huo.

It was just common sense kampuni ya simu aiwezi toa info za wateja wake kirahisi rahisi tu. Lissu tu na Amsterdam kukuza mambo.

Na kama Millicom walishauza TiGO ndio kabisa, labda na wenyewe hakina Lissu wakaishitaki hiyo Millicom.
 
Swali: Kama kampuni imeshida au kushindwa kesi kabla ya kuuzwa au ikiwa inaendelea na kesi alafu wamiliki wakabadilika nini kinafanyika? Kazi kwenu wataalam wa sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…