tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Kampuni inapouzwa inauzwa na kila kitu chake kama ni madeni inadaiwa kama kuna jinai ilifanya basi kampuni inayonunua au watu wanaoinunua wanawajibika na jinai hiyo kwa muktadha huo basi TIGO hawakwepi hii kadhia lazima itakula kwao !!!!!!
 
Tundu Lisu: Tumepata pa kuanzia

Mbona unaogopa sana bwashee 😂
Hata kwenye mkasa wa kamanda Ally Mohamed Kibao ilikua hivi hivi tu, picha wakati linaanza wanaona na wanatoa taarifa chap chap, lakini pia picha wakati limeisha wanaona na wanatoa taarifa chap chap...

wakiulizwa,
jamani hivi kweli hapo katikatika hamjaona kulitokea au kilitendeka nini ati hawajaona kitu 🤣
 
Shujaa Ally Mohamed Kibao ni mbegu ya mabadiliko makubwa yanayokuja na yameanzia TIGO 🐼
 
Unaelewa maana ya brand name wewe? BRAND name toka lini kisheria ikawa jina la kampuni?

Kwahiyo ukifanya jinai ukabadili jina unakuwa ushaepuka jinai? Ndiyo unachotaka kusema? Kwani Lissu alikuwa anatumia line ya MIC au tigo?
 
Hawaaminiki hawa.
Hata mimi nilipokuwa natafutwa na shemeji yangu walihusika kutoa mawasiliano yangu.
 
Kwahiyo ukifanya jinai ukabadili jina unakuwa ushaepuka jinai? Ndiyo unachotaka kusema? Kwani Lissu alikuwa anatumia line ya MIC au tigo?
Kampuni iliuzwa kwa mwingine na ikaondoka zake na kufunga biashara zake zote Tanzania. Tofautisha na kurithisa.Kampuni imeuza kila kitu na kufunga ofisi zao na biashata zao zote Tanzania na kufunga virago

Neno.kuu hapo kufunga biashara zake zote Tanzania kufunga ofisi na kuondoka nchini moja kwa moja

Hivyo hiyo Kampuni ya Milicon haipo tena Tanzania na walla haina bidhaa yake yeyote Tanzania inayoendelea kuuzwa .Hata kama kuna bidhaa inafanana jina na ile iliyokuwa ikiuza

Milicon hana bidhaa yeyote Tanzania anayouza.Tigo hii iliyopo sasa sio bidhaa ya Milicon na haina uhusiano nao tena ni bidhaa mpya ya mteja mpya aliyenunua biashara toka Milicon

Ukinunua suruali kwa mtu ukiivaa ile ile haiwi ya aliyekuuzia tena
 

Wamejibu kipuuzi puuzi tu...
 
Lissu anaishitaki Millicom(MIC) na GoTz ,hayo mambo ya Horona au tigo hayamuhusu! Maana case ya Misingi ni Clifford anaishitaki Millicom kwa unfair termination.
 
TIGO inawezaje kuikana TIGO.
 
Acha uzushi wewe!!
 
Wewe ndiye unayetuhumu ndiyo unatakiwa kuthibitisha.
sina haja kutuhumu chochote kwenye hili, ispokua naona mazingira ya kujihesabia haki kwa mbwembwe sasa kwenye hili, na hivyo nadhani ingependeza zaidi picha la katikatika likawekwa wazi na wa husika itasaidia sana kuona kama wanahusika au hawahusiki 🐒
 
Hueleweki.

Unataka kusema nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…