Ndo yale yale, wakati jamaa anamtaka dada yako ulikua unamtimua kwa marungu, Mungu saidia kampata na wanafunga ndoa kwa kiherehere chako siku ya harusi unawahi ukumbini kucheza kwaito, sasa unategemea nini? Jamaa atazima muziki[emoji23][emoji23]
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.