Tigo wameni-bless leo

 

Attachments

  • 2756823_JamiiForums-1851313687.gif
    488.3 KB · Views: 4
Tigo tena🤣🤣🤣🥱🥱🥱
 
Itakua Kuna mtu kanunua umeme Kwa tigopesa kakosea kaingiza meter number Yako.
hata akikosea mita sms ya luku ataipata kwa namba iliyotumika kununua sio ninunue kwenye simu yangu hlf atumiwe mwingne
 
hata akikosea mita sms ya luku ataipata kwa namba iliyotumika kununua sio ninunue kwenye simu yangu hlf atumiwe mwingne

Mbombo jilipo, basi hapo sinabudi kuungana na wananzengo walioangazia suala Zima la kamba na bidhaa ya Mufindi..

Vinginevyo, tigo wawe smart kiasi Cha kuangalia activity mojawapo ulizofanya na kukuzawadia huo muamala. Mfano kama alininua umeme huko nyuma waamue kumpa bkakshish ( yaani badala ya muda wa maongezi, bundle au salio Kwa tigopesa) wamekua waungwana kiasi Cha kugawa umeme....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…