tiGO wana shida za mara kwa mara, tatizo ni nini? Toka saa moja jioni tiGO Pesa haipatikani

tiGO wana shida za mara kwa mara, tatizo ni nini? Toka saa moja jioni tiGO Pesa haipatikani

Searching for the truth

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2022
Posts
903
Reaction score
1,851
Kwa kifupi nakareka sana na huduma za huu mtandao.

Mtandao haumalizagi mwezi lazima hitilafu itokee tukose baadhi ya huduma.

Mfano nipo hapa tangu saa moja jioni, TIGO PESA haifanyi kazi.

Unakuta mtu ulikuwa na mambo yako ya msingi ya kufanya lakini unapata hasara kwa sababu ya huu kila mwezi unapata hitilafu.

Utatuma pesa haiziendi mahali husika, wanakuambia subiri masaa 24 alafu hata siku 10 hadi 12 ndiyo wanakuja kuirudisha pesa.

Huu ni usumbufu wa kiwango cha juu na napendekeza huu mtandao ufutiwe leseni kabisa wakafanye shughuli nyingine wanazoziweza. 😡😡😡😡
 
Wala msiishughulishe serikali kwa mambo yaliyo ndani ya iwezo wenu.
Jitoe kutumia huduma zao tafuta kampuni ya huduma kama hizo kama mbadala wake itakufa taratibu tu itajitoa yenyewe!
 
Acha udwanzi, watu tunatumia tigo kila leo, hakuna mtandao bora kwa malipo na miamala kama tigo, suala la leo jioni kutofanya kazi inatokea kwa mtandao wowote.
Wiki ya pili data ni za kusua sua hadi sasa najua majina ya customer care wao wote maana kwa siku nitapiga zaidi ya mara tatu kwa kujosa data services
 
Wiki ya pili data ni za kusua sua hadi sasa najua majina ya customer care wao wote maana kwa siku nitapiga zaidi ya mara tatu kwa kujosa data services

Aisee pole, mie bando langu la mwezi ndio kwanza hapa lina akiba ya 60gb nazurura na kuteleza tu mitandaoni bila shida
 
Tigo ni Changamoto Sana
Unaweza kuuliza Salio tu wakakutumia sms kesho yake

Usijaribu kununua luku unaweza lala Giza sio mara moja tumelala Giza Bora uhamishe hela Voda ununulie huko

Kiukweli wasipoboresha HUDUMA zao walekea kubaya
 
Badilli mtandao ndugu, mitandaoni ipo msingi we mwenye we unajuwa. Kwanini fedha zako na bado zikutese.
 
Back
Top Bottom