tiGO wana shida za mara kwa mara, tatizo ni nini? Toka saa moja jioni tiGO Pesa haipatikani

tiGO wana shida za mara kwa mara, tatizo ni nini? Toka saa moja jioni tiGO Pesa haipatikani

Badilli mtandao ndugu, mitandaoni ipo msingi we mwenye we unajuwa. Kwanini fedha zako na bado zikutese.
Kati ya vitu ngumu huwa na hiyo kwangu.

Imagine umetumia laini miaka 15, watu wako wa maana kabisa wanakujua kwa hiyo laini moja tu, alafu nije nibadili leo, nitapoteza vingi sana
 
Nimetoka kutumia tigopesa rn na ipo freshi tu.

Poleni wahanga.
 
Kati ya vitu ngumu huwa na hiyo kwangu.

Imagine umetumia laini miaka 15, watu wako wa maana kabisa wanakujua kwa hiyo laini moja tu, alafu nije nibadili leo, nitapoteza vingi sana
unaweza hama mtandao kuhamia mwingine kwa namba hiyo hiyo yote kuanzia tarakimu ya kwanza mpaka ya mwisho.
 
ukirudi mtuambie

ndo shoda ta mpika maandaz akishiva hela skuingne mtapewa ma ichi au yameunvua au hamna kbs na wala hana shaka anaona poa ndo tigo wa sasaa
 
Back
Top Bottom