Tigo washitakiwe kwa false advertisement

Tigo washitakiwe kwa false advertisement

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Tigo wanatangazo jipya, 'Mzigo umeongezwa' wanasema wameongeza vifurushi. Kwa bei zao hizi mpya. 500 inanunua MB 150. Tsh 3000 inanunua mb 1500. Mimi sioni kilichoongezeka zaidi ya kupotosha watu. Juzi tu nilikuwa nanunua mb 1000 kwa Tsh 1000. Haijalishi wanaviita vipi vifurushi vyao.

Ukitangaza sana unaweza kupotosha watu kuwa vifurushi vimeongezeka kumbe vimepungua.

Washitakiwe kwa false advertisement.
 
Tigo wanatangazo jipya, 'Mzigo umeongezwa' wanasema wameongeza vifurushi. Kwa bei zao hizi mpya. 500 inanunua MB 150. Tsh 3000 inanunua mb 1500. Mimi sioni kilichoongezeka zaidi ya kupotosha watu. Juzi tu nilikuwa nanunua mb 1000 kwa Tsh 1000. Haijalishi wanaviita vipi vifurushi vyao.

Ukitangaza sana unaweza kupotosha watu kuwa vifurushi vimeongezeka kumbe vimepungua.

Washitakiwe kwa false advertisement.
Hakuna kilichopotoshwa, hawajasema wamepunguza bei wamesema "mzigo umeongozwa" wakimaanisha gharama ya kununua vifurushi ndio iliyoongezwa

Mzigo = pesa
 
Tigo wanatangazo jipya, 'Mzigo umeongezwa' wanasema wameongeza vifurushi. Kwa bei zao hizi mpya. 500 inanunua MB 150. Tsh 3000 inanunua mb 1500. Mimi sioni kilichoongezeka zaidi ya kupotosha watu. Juzi tu nilikuwa nanunua mb 1000 kwa Tsh 1000. Haijalishi wanaviita vipi vifurushi vyao.

Ukitangaza sana unaweza kupotosha watu kuwa vifurushi vimeongezeka kumbe vimepungua.

Washitakiwe kwa false advertisement.
Mitandao ipo kibao jidai tigo ndio kabila lako huwezi badili ufe nao
 
Tigo wanatangazo jipya, 'Mzigo umeongezwa' wanasema wameongeza vifurushi. Kwa bei zao hizi mpya. 500 inanunua MB 150. Tsh 3000 inanunua mb 1500. Mimi sioni kilichoongezeka zaidi ya kupotosha watu. Juzi tu nilikuwa nanunua mb 1000 kwa Tsh 1000. Haijalishi wanaviita vipi vifurushi vyao.

Ukitangaza sana unaweza kupotosha watu kuwa vifurushi vimeongezeka kumbe vimepungua.

Washitakiwe kwa false advertisement.
Nakuunga mkono. Kwa ujinga wao huo nimeamua kuwahama mazima. Line yao napokelea simu tu. Siweki vocha tena. Pumbaff zao.......
 
Almost mitandao yote wameamuwa ku2nyonya. Mungu anawaona.

Haloteli nako ivyo ivyo
 
Tigo wanatangazo jipya, 'Mzigo umeongezwa' wanasema wameongeza vifurushi. Kwa bei zao hizi mpya. 500 inanunua MB 150. Tsh 3000 inanunua mb 1500. Mimi sioni kilichoongezeka zaidi ya kupotosha watu. Juzi tu nilikuwa nanunua mb 1000 kwa Tsh 1000. Haijalishi wanaviita vipi vifurushi vyao.

Ukitangaza sana unaweza kupotosha watu kuwa vifurushi vimeongezeka kumbe vimepungua.

Washitakiwe kwa false advertisement.
Unaishitaki serikali
 
Hivi yule wakili msomi aliyeshtaki kampuni moja ya sim yupo wapi 😂😂

Ova
 
Back
Top Bottom