Tigopesa,Airtel money and Mpesa

Tigopesa,Airtel money and Mpesa

Dhwahiri

Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
16
Reaction score
5
Ninaomba ufafanuzi wa kupata comission ukiwa wakala wa huduma hizi.Kama Kuna calculation yoyote ya Namba ya kupata comission.Tafadhali kwa anaefahamu.
 
Ishakua biashara ya kanisa siku hizi tegemea kubarikiwa tu, labda kama uifanye ili ku maintain wateja kwenye biashara yako nyingine ila usitegemee upate faida huko
 
Back
Top Bottom