Kwani baada ya hapo Brazil walikutana Mara ngapi na zote wakawa wanapigwa tuu?
Njia yake ilikua ina Nani? Hadi wanafika final je vipi 2006 walivyokutana wakafanywaje na Henry?Aliyechukua kombe la dunia lililofata ni nani?
Njia yake ilikua ina Nani? Hadi wanafika final je vipi 2006 walivyokutana wakafanywaje na Henry?
Mwaka 2000 France alikua bingwa Euro maana yake France walikua na kizazi Bora Sana kilichoishia 20061998 mpaka 2006 ni miaka 8, hapo vikosi vinakuwa vimebadilika sana.
Mwaka 2000 France alikua bingwa Euro maana yake France walikua na kizazi Bora Sana kilichoishia 2006
Maajabu ya mpira yapo Yani Kama ubingwa wa leicister city au ubingwa wa ugiriki 2004What happened 2002? Si kilikuwa ni kizazi hicho hicho? And then 2004?
Maajabu ya mpira yapo Yani Kama ubingwa wa leicister city au ubingwa wa ugiriki 2004
Maajabu ya mpira kuugua?Kwa nini swala Ronaldo isiwe maajabu ya mpira?
Maajabu ya mpira kuugua?
Kwanini usiseme ilikua hofu kwani ndio final yake ya Kwanza kubwa nayeye ndio tegemeo?Yeah, huoni kama ilikuwa ajabu, ameugua ugonjwa ambao toka utoto hajawahi kukutana nao.
Na mechi ilivyoisha akapona bila hata kwenda hospital.
What happened 2002? Si kilikuwa ni kizazi hicho hicho? And then 2004?
2004 hujui alichomfanya Mwingeleza dak za 90 au unajisahaulisha magoli ya Zizou?
Kijana kubali kataa kile kizazi kilikuwa bora
Worldcup 98
Euro 2000
Euro 2004
World cup 2006
Miaka hiyo yote nane kizazi kile kilikuwa bora
( iv unakumbuka 2006 France ilikuwa na no 9 ( kumi na 6 kati yao wakiwa wanaongoza ufungaji bora kwenye league wanazocheza? Mpk kocha anashindwa nan wa kupangwa?)
Labda kama umeanza kuangalia mpira juzi but kizazi cha Zidane/Thuram/Lizarazu/Deschamps/blanc etc kilikuwa bora sana
Euro 2000 ilitwaa kwa Aina yake tuu ile mechi ya final wanasubir Hadi David Trezeguet asawazishe....ila alipita kwa shida maana Nusu final tuta la dakika za mwisho la Abel Xavier ananawa mpira ila 98 wanshinda kiulaini Sana kwakua Brazil alizidiwaMbona umeiruka 2002 ambapo walikuwa kundi na Senegal?
2004 wametolewa na Greece, hope unakumbuka pia hilo swala.
Kwangu mimi France ilikuwa ya Euro 2000.