Tik Tok kuwarithi Sportpesa

Hadrianus

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2020
Posts
2,112
Reaction score
5,229
Tetesi ni kua kuelekea mwisho wa mkataba wa udhamini wa miaka mitano kati ya Simba Sc Tanzania na kampuni ya kubet Sportpesa ni kwamba Simba Sc ipo kwenye mazungumzo na TIK TOK kuja kuwa mdhamini mkuu wa klabu hiyo yenye maskani yake mtaa wa Msimbazi.

 
Mpira wa Zama hizi ni Biashara mwenye Dola atapewa kipaumbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…