Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unamshtaki au unalalamikia?Wanajamii leo nimeaibika sana kwa kuonekana labda ninamichezo ya kula mashoga kumbe hata si kweli.
Ilikuwa hivi kuna demu mmoja hivi aliniomba simu acheki spesifications za simu basi nimempa kumbe yeye kaenda kufungua application ya TikTok ambayo mimi huwa naingia kuchek video za kuchekesha.
Sasa katika kufungua tu zile random post ya kwanza hadi ya tatu ni za mashoga, asianze kuropoka eti ndo michezo yangu yaani kaniabisha sana wakati hata sio.Nimeifuta na kufuta
Like + follow = suggestions
Unamshtaki au unalalamikia?
Mwanangu hiyo kazia ni shida sana yani kama wale kisura wa mbeya ndio wanafanya jua liwe kali ila fungua akaunti ilo uwe unablock hao mashoga mimi kipindi sina akaunti ndio zinakuja kuja baada ya kufungua akaunti ndio nikablock watu tupo tiktok kwa kuwachek wadada wenye misambusa ya kwendraaa na vichekesho
Hata kama, hizo app ni janja zinajua video unazoziangalia kwa muda mrefu (unangalia mpaka mwisho)Hata account sina hizo like Nina like vipi??
Aaah braza, kwani Fb inatatizo gani?Mwanaume ukitumia snapchart Facebook tiktok uchunguzwe kwanza
Mtoto wa kiume unapaswa kuwa na dating apps tuMtoto wa kiume unakuwaje na Tik tok au Snapchat.