TikTok imejaa mashoga. Nimeaibika mimi

TikTok imejaa mashoga. Nimeaibika mimi

Wanajamii leo nimeaibika sana kwa kuonekana labda ninamichezo ya kula mashoga kumbe hata si kweli.

Ilikuwa hivi kuna demu mmoja hivi aliniomba simu acheki spesifications za simu basi nimempa kumbe yeye kaenda kufungua application ya TikTok ambayo mimi huwa naingia kuchek video za kuchekesha.

Sasa katika kufungua tu zile random post ya kwanza hadi ya tatu ni za mashoga, asianze kuropoka eti ndo michezo yangu yaani kaniabisha sana wakati hata sio.Nimeifuta na kufuta
Unamshtaki au unalalamikia?
 
mimi situmii mtandao wowote ule zaid ya jf,wasap n you tube baada ya kuona ni upuuz tena ningekua na option ya kuacha wasap ningepiga chini na wasp yangu nina group 2 tu ambazo nikimaliza mission na zenyewe zinafutwa
 
Mwanangu hiyo kazia ni shida sana yani kama wale kisura wa mbeya ndio wanafanya jua liwe kali ila fungua akaunti ilo uwe unablock hao mashoga mimi kipindi sina akaunti ndio zinakuja kuja baada ya kufungua akaunti ndio nikablock watu tupo tiktok kwa kuwachek wadada wenye misambusa ya kwendraaa na vichekesho

Nilitafuta option ya kublock hasa yule Shangazi wa Mombasa maana maranyingi huja huja kwenye list ila sikuweza kutokana sina account
 
We mwanaume gani unatumia vitu vya kike iyo kitu wanawake ndio upenda sana kutumia mm binafsi sijawai kuitumia uwa naonaga tu mademu wanatumia
 
Mtoa mada ndo huyu mwemye kuwaka tamaa na wanaume wenzake...hahaha pungasese wewe
 
Nyie acheni mawazo mabaya ushoga na TikTok vinahusiana wapi na wapi? App ya TikTok ni kama app zingine. Ushoga ni tabia tu ya mtu na namna anavyotumia hiyo app kama ingekua Sheria kwamba Kila anayetumia TikTok ni shoga basi wangekua wengi sana. TikTok ni app ambayo unaweza kuangalia video nzuri na za kufurahisha na hamna Sheria inayosema kwamba mwanaume hapaswi kutumia TikTok .
 
Back
Top Bottom