Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 806
- 1,296
Wakati inaanza ilianza kwa maudhui mazur sana na yenye maadili
Watu tukaipenda zaidi kwakuwa ndio platfom inayoweza kukuingizia hela kwa urahisi ukilinganisha na platfom zingine za online kama vile Youtube n.k
Ila sasa hivi imekua ya kishenzi sanaaaa...hauwezi kuingia tiktok bila kuvaa earphone, labda kama umezoea kudhalilika na kujishushia hadhi
Watu wanafanya umalaya waziwazi, tena live bila chenga, watu wanajiuza kwa kila namna, sio wanawake, sio mashoga
Wanaoingia live ni kukata mauno tu, kuonyesha uchi, kuongelea ngono, ufuska, uasherati na umalaya wa kujiuza
Sasa hivi wameenda mbali zaidi, watu wanaingia live halafu wananyanduana live live...yaaani unasikia kabisa ile miguno ya kuzagamuana,zile sauti za kimahaba na wengine wanawasha kabisa camera zao ili muone midinyano
Siku izi ukitaka kuangalia ngono wala usiende xvideo, au pornhub, au xhamster...uko utakutana na video zilizorekodiwa na kufanyiwa editing.....Ingia tiktok ili uone ngono live kabisa bila chenga.
La kumalizia tu, tunapoelekea wala sitashangaa ntakapoanza kuona biashara haramu kama vile madawa ya kulevya, biashara ya viungo vya watu, mauaji na utekaji wa watu, kuuziana silaha n.k zikianza kufanyika tiktok live kabisaaa...nipo paleeeeeeeee
Watu tukaipenda zaidi kwakuwa ndio platfom inayoweza kukuingizia hela kwa urahisi ukilinganisha na platfom zingine za online kama vile Youtube n.k
Ila sasa hivi imekua ya kishenzi sanaaaa...hauwezi kuingia tiktok bila kuvaa earphone, labda kama umezoea kudhalilika na kujishushia hadhi
Watu wanafanya umalaya waziwazi, tena live bila chenga, watu wanajiuza kwa kila namna, sio wanawake, sio mashoga
Wanaoingia live ni kukata mauno tu, kuonyesha uchi, kuongelea ngono, ufuska, uasherati na umalaya wa kujiuza
Sasa hivi wameenda mbali zaidi, watu wanaingia live halafu wananyanduana live live...yaaani unasikia kabisa ile miguno ya kuzagamuana,zile sauti za kimahaba na wengine wanawasha kabisa camera zao ili muone midinyano
Siku izi ukitaka kuangalia ngono wala usiende xvideo, au pornhub, au xhamster...uko utakutana na video zilizorekodiwa na kufanyiwa editing.....Ingia tiktok ili uone ngono live kabisa bila chenga.
La kumalizia tu, tunapoelekea wala sitashangaa ntakapoanza kuona biashara haramu kama vile madawa ya kulevya, biashara ya viungo vya watu, mauaji na utekaji wa watu, kuuziana silaha n.k zikianza kufanyika tiktok live kabisaaa...nipo paleeeeeeeee