TikTok imekuwa chimbo jipya la kueneza uzinzi, ushoga ukahaba na uasherati ulipitiliza

TikTok imekuwa chimbo jipya la kueneza uzinzi, ushoga ukahaba na uasherati ulipitiliza

Sasa wacha namimi nidownload
Hebu nielekeze pakuipata na account zakutembelea

Kwa hii teknolojia smart bro, unaletewa vitu unavyopenda kuvitembelea. Na sasa umetujulisha unavyovipenda wewe
 
Mtoa mada huko kwenye live umepafata wewe.

Siku chache zilizo pita nili ingia mchana kama huu nikakuta live prayer na account Moja hivi famous ya dini from UK

Na sikua na earphones ila nilisikiliza hvyo hvyo japo mazngra hayakuwa rafiki.

Yale maombi yalikuwa mazuri Kwa upande wangu
 
Jana niki browse live nikakutana na kam Kaka..

Nikasimama nione ana Dadaz na Kaka wamemu join chit chat yao..

Niliyoyasikia [emoji23][emoji23][emoji23] nilisema kumbeee laivu bila wasiwasi.. Nikakumbuka TCRA nikajisemea watajiju..

Nikaendelea kwa wauzaji napenda kuangalia bidhaa zao.. Na talks za nchi jirani na dunia..

Ila eeeeh kam Kaka kajipodoaaaa ana jikatikia kuvutia wateja wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom