Tiktok yaligomea Bunge la Marekani, ByteDance yasisitiza haitauzwa

Tiktok yaligomea Bunge la Marekani, ByteDance yasisitiza haitauzwa

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Kampuni ya ByteDance ambayo ni Kampuni mama ya Mtandao wa Kijamii wa TikTok, imeshikilia msimamo wake kuwa haitauza mtandao huo licha ya tishio la kufungiwa nchini Marekani.

Bunge la Marekani hivi karibuni lilipitisha sheria ya kuilazimisha Bytedance, ambayo ni Kampuni ya China kuuza mtandao huo ili usipigwe marufuku nchini Marekani kutokana na wasiwasi wa kutumika na Serikali ya China.

Bytedance imesema itaenda mahakamani kwani wanayofanyiwa ni kinyume cha sheria nchini Marekani.
 
Zionists baada ya kuona hawana control ya free media wakatumia bunge la marekani ambalo wamelinunua ili kuithibiti Tik Tok ili waweze kuiweka tiktok mikononi mwao. Vijana wengi wameamshwa na posts za mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza kupitia TIK TOK.
 
Inapendeza....
Marekani wakinunua JF comment zitakua fupi fupi sana...


Cc: Mahondaw
 
Kampuni ya ByteDance ambayo ni Kampuni mama ya Mtandao wa Kijamii wa TikTok, imeshikilia msimamo wake kuwa haitauza mtandao huo licha ya tishio la kufungiwa nchini Marekani.

Bunge la Marekani hivi karibuni lilipitisha sheria ya kuilazimisha Bytedance, ambayo ni Kampuni ya China kuuza mtandao huo ili usipigwe marufuku nchini Marekani kutokana na wasiwasi wa kutumika na Serikali ya China.

Bytedance imesema itaenda mahakamani kwani wanayofanyiwa ni kinyume cha sheria nchini Marekani.
Then they will be banned. It simple
 
Zionists baada ya kuona hawana control ya free media wakatumia bunge la marekani ambalo wamelinunua ili kuithibiti Tik Tok ili waweze kuiweka tiktok mikononi mwao. Vijana wengi wameamshwa na posts za mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza kupitia TIK TOK.
China si waliban mitandao yote ya hao so called “zionist” since 2009?
 
Ndio nchi inayohubiri democracy na freedom of speech wameeona tik tok imekuwa watu wanatoa taarifa za kweli kuhusu gaza na wanashindwa kuidhibiti km walivyoithibit X wameona wailazimishe iuzwe
Japokuwa si support wanachofanya ila china aliban all sc network kutoka western , na hiyo ni 200. So china iko upande upi hapo?
 
Ndio nchi inayohubiri democracy na freedom of speech wameeona tik tok imekuwa watu wanatoa taarifa za kweli kuhusu gaza na wanashindwa kuidhibiti km walivyoithibit X wameona wailazimishe iuzwe
Mpango wa kuipiga pin ulikuwepo tangu enzi za Trump. Au napo kulikuwa na vita ya October 7th?

Halafu kuna sehemu taarifa za kisiasa zinasambaa kwa kasi kuzidi Twitter? Umeshakuwa brainwashed.

TikTok inafungiwa kwa sababu inatumiwa na serikali ya China kuvuna data za Wamarekani. Ni hatari kwa usalama wa nchi yao.

Wenzetu ni wazalendo. Siyo kama sisi.
 
Mpango wa kuipiga pin ulikuwepo tangu enzi za Trump. Au napo kulikuwa na vita ya October 7th?

Halafu kuna sehemu taarifa za kisiasa zinasambaa kwa kasi kuzidi Twitter? Umeshakuwa brainwashed.

Ticktock inafungiwa kwa sababu inatumiwa na serikali ya China kuvuna data za Wamarekani. Ni hatari kwa usalama wa nchi yao.

Wenzetu ni wazalendo. Siyo kama sisi.
Sasa mbona serikali ya marekani inashindwa kutoa ushahidi kuhusu hizo tuhuma?

Kwa sasa duniani hakuna mtandao unaoufikia tiktok kwa kusambaza na kutoa taarifa kwa haraka.

TikTok ni mtandao ulioanza juzi tu lakini mpaka leo hii nusu ya wamarekani wanatumia mtandao wa tiktok hasa kundi kubwa la vijana.
 
Mpango wa kuipiga pin ulikuwepo tangu enzi za Trump. Au napo kulikuwa na vita ya October 7th?

Halafu kuna sehemu taarifa za kisiasa zinasambaa kwa kasi kuzidi Twitter? Umeshakuwa brainwashed.

TikTok inafungiwa kwa sababu inatumiwa na serikali ya China kuvuna data za Wamarekani. Ni hatari kwa usalama wa nchi yao.

Wenzetu ni wazalendo. Siyo kama sisi.

Trump majuzi aliisifu Tik Tok na hii ni baada ya yeye naye kuonja chungu ya kuwa canceled na akina twitter na mitandao mingine. Amejifunza kuwa kucontrol vyombo huru ni counterproductive.
 
Zionists baada ya kuona hawana control ya free media wakatumia bunge la marekani ambalo wamelinunua ili kuithibiti Tik Tok ili waweze kuiweka tiktok mikononi mwao. Vijana wengi wameamshwa na posts za mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza kupitia TIK TOK.
VITA ya kibiashara kati ya China na US imeanza muda mrefu ikafumuka zaidi kwenye sakata la HUAWEI na 5G na sasa ni TikTok ambayo kesi yake imeanza hata kabla ya October 7 invasion nimeshangaa sana hio Post yako Sanaa like seriously? Zionist 😁
 
L
Ndio nchi inayohubiri democracy na freedom of speech wameeona tik tok imekuwa watu wanatoa taarifa za kweli kuhusu gaza na wanashindwa kuidhibiti km walivyoithibit X wameona wailazimishe iuzwe
Hauwezi kua serious yaani TikTok ipigwe ban US just simple because of Gaza do you think they even Care? they don't give fvck about it.
It's all about business and surveillance
 
Back
Top Bottom