TikTok yapewa muda hadi Januari 19, 2025 iwe imeuza hisa zake kwa mwekezaji wa Marekani au ifungiwe

TikTok yapewa muda hadi Januari 19, 2025 iwe imeuza hisa zake kwa mwekezaji wa Marekani au ifungiwe

Mahakama ya Rufaa ya D.C. imetangaza uamuzi wa kuunga mkono sheria inayotaka ByteDance, kampuni mama ya TikTok kutoka China, kuuza hisa zake za programu hiyo ifikapo Januari 19, 2025, la sivyo itakabiliwa na marufuku kote Marekani.
View attachment 3171068
Sheria hiyo, inayojulikana kama Protecting Americans from Foreign Adversary Controlled Applications Act, imeelezwa kuwa imelenga moja kwa moja kulinda usalama wa taifa.

Hata hivyo, TikTok imepinga hatua hiyo, ikidai inakiuka haki ya Kifungu cha Kwanza cha Katiba ya Marekani (First Amendment).

Mahakama, kwa upande wake, imesisitiza kuwa ushahidi wa serikali ya Marekani kuhusu hatari za kiusalama una uzito mkubwa, ikizingatia ushawishi wa programu hiyo duniani na uwezekano wa matumizi mabaya.

Soma, Pia: Bunge la Marekani lapitisha Muswada wa Sheria ya kuifungia TikTok
==
The U.S. Court of Appeals for the D.C. Circuit has upheld a law requiring TikTok's Chinese parent company, ByteDance, to sell its stake in the app by January 19, 2025, or face a nationwide ban.

The decision supports the Protecting Americans from Foreign Adversary Controlled Applications Act, which the court deemed narrowly tailored to address national security risks.

While TikTok argues the law infringes on First Amendment rights, the ruling emphasised the app's global reach and potential for misuse, citing the U.S. government's persuasive evidence.
Hiyo ifungwa tu labda watoto wa 2000's watapata ahueni.
 
Tatizo mbavu na mapafu. China kuna kipindi alihamia kwenye soka, akawa analipa pesa ndefu kufuru Sasa hivi ameshaachana nayo
Yah ana project zilizofail ikiwemo kuhamisha miji mikubwa za europe china. Ila kwenye tech kila sikua anafanikiwa. EVs kashika, nissan isipopata mwekezaji kufikia mwakani itakuwa imefilisika, Vokswagen, Benz wanalia, sasa hivi yuko kwenye mpango wa kuwa mojawapo ya leading pioneers wa kusupply chips. unaambiwa mpaka sasa kuna private companies 1400 za kutengeneza chips china ambazo zinapewa fedha na serikali ili kufanya research na ubunifu ili baadaye zije kushindana na kampuni kubwa tatu za US
 

Attachments

  • Screenshot_20241207_112029_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20241207_112029_Samsung Internet.jpg
    223.3 KB · Views: 4
Thibitisha kauli yako
Tangu Kitambo sana Wanayataka Makapuni yawatengenezee namna nzuri ya kudukua. Kwenye Hii Kesi ya 2016 baada ya FBI kubwagwa Mahakamani wakatoa tenda kwa Vendor ya Kudukua Simu za Iphone wakapata Software kutoka Israel Wakamalizana na Iphone
 

Attachments

  • Screenshot_20241207_113234_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20241207_113234_Samsung Internet.jpg
    287.7 KB · Views: 5
Tangu Kitambo sana Wanayataka Makapuni yawatengenezee namna nzuri ya kudukua. Kwenye Hii Kesi ya 2016 baada ya FBI kubwagwa Mahakamani wakatoa tenda kwa Vendor ya Kudukua Simu za Iphone wakapata Software kutoka Israel Wakamalizana na Iphone
Mmarekani atakudukua usiye raia wake. Lakini siyo mjinga kuingilia faragha za watu wake
 
Raha kufanyia wenzako ila ukifanyiwa kile kile unachofanyia wenzio unaumia.
China kila mtu anatumika kufeed info kwa Serikali Yao.
Wakimaliza app hiyo wawauwe na wachina iwe raia, mwanafunzi, Profesa na wengine waliopo U.S.
 
Tatizo mbavu na mapafu. China kuna kipindi alihamia kwenye soka, akawa analipa pesa ndefu kufuru Sasa hivi ameshaachana nayo
Ameachana na soka baada ya kuona haina matokeo aliyo tarajia kwa ufupi wachina kwenye soka wapo hovyo sana.

Na ni wachina wote sio Hong-Kong wala Beijing wala Taiwan wala Macau
 
Ila kwa mwendo wa china, vikwazo sasa vitashindwa kufanya kazi. Halafu ukweli ni kwamba hakuna kipya anachofanya china, anapita mule mule wengine walichofanya.
Mfano now anatoa offer hadi za mshahara mara 300 kwa talents kuhamia kwake, ambapo marekani na ulaya wamejipanga kumdhibiti but marekani amefanya innovations kwa miaka mingi kwa kutoa maslahi makubwa kwa talents pia.
Kweli mkuu,china yapitia mlemle na chakuongezea hapo ni kwamba Kwa kuwa teknolojia inachingia pia kukua kwa uchumi wa nchi husika,hawa USA wanahofia China asikue zaidi dhidi yao,hivyo wanajaribu kumdhibiti kivyovyote vile,lkn hawawezi fanikiwa.
 
Kweli mkuu,china yapitia mlemle na chakuongezea hapo ni kwamba Kwa kuwa teknolojia inachingia pia kukua kwa uchumi wa nchi husika,hawa USA wanahofia China asikue zaidi dhidi yao,hivyo wanajaribu kumdhibiti kivyovyote vile,lkn hawawezi fanikiwa.
Wanajaribi kumdhibiti asipate tech ya kutengeneza chips kwa sababu chips are everywhere kwenye silaha, magari yani kila kitu.
sasa china anataka kuzalisha silaha za AI pia na kuwa leading supplier wa chips.
Hizi ban hazitomzuia kufanya hivyo.
 
Mtandao wa hovyo, lkn Marekan nayenyewe iache soko huria liamue, au waanzishe TikTok yao nasio kufungia mitandao. Hivi Tz ikifungia watsp, X, insta wakasema sio salama kwa nchi yetu itakua sawa?.
Mbona hampigii kelele china kufungia kila kitu hadi youtube. Mzee ukitoa dawa uwe umeitest kwanza na uhakikishe unaweza stahimili uchungu
 
Back
Top Bottom