Uliuliza kodi ya kitu gani? Inawezekana ni kodi ya pango.Aisee niliulizaga hizi tiles za 40x40 ili nimalizie ujenzi nimekuta zimepanda bei nikauliza nini sababu muuza duka akanijibu WANATOZWA KODI KUBWA.HILI JIBU LIMENISIKITISHA SANA AISEE NIMESHANGAZWA NA HII SERIKALI INAVYOJITANABAISHA KUWA NI WA WANYONGE sasa sijui hao wanyonge ni wa MALAWI au TZ.
Chadema badala ya kujenga viwanda wameatamia ngada tu ,unategemea nini?
Hutaki mlipe kodi hivyo vituo vya afya, barabara na reli mnajenga na nn?Aisee niliulizaga hizi tiles za 40x40 ili nimalizie ujenzi nimekuta zimepanda bei nikauliza nini sababu muuza duka akanijibu WANATOZWA KODI KUBWA.HILI JIBU LIMENISIKITISHA SANA AISEE NIMESHANGAZWA NA HII SERIKALI INAVYOJITANABAISHA KUWA NI WA WANYONGE sasa sijui hao wanyonge ni wa MALAWI au TZ.
Mkuu wachina wamejenga viwanda vingi sana vya tiles Dar es salaam lakini cha ajabu bei ya tiles inazidi kwenda juu kila kukicha..
Hutaki mlipe kodi hivyo vituo vya afya, barabara na reli mnajenga na nn?
Upo wp?Naomba mwenye kujua bei ya saizi zote anisaidie nataka nunua
Zimepanda kutoka bei gani hadi bei gani?Kwa kweli mi niliuliza mwezi uliopita ikabidi nikajipange ili nije kununua nineshangazwa kukuta imepanda tena imenibidi nipige hesabu ya sakafu ya kawaida iliyobaki nimeenda bar hadi sasa nipo napoza machungu.
Kuna mtu atakuja na comment hii 'TUSHAJUA UNAJENGA'Aisee niliulizaga hizi tiles za 40x40 ili nimalizie ujenzi nimekuta zimepanda bei nikauliza nini sababu muuza duka akanijibu WANATOZWA KODI KUBWA.HILI JIBU LIMENISIKITISHA SANA AISEE NIMESHANGAZWA NA HII SERIKALI INAVYOJITANABAISHA KUWA NI WA WANYONGE sasa sijui hao wanyonge ni wa MALAWI au TZ.