sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Siku unapouliza bei, ndo siku ya kununua mkuu, hiyo ndo tabia ya "fiat money"Aisee niliulizaga hizi tiles za 40x40 ili nimalizie ujenzi nimekuta zimepanda bei nikauliza nini sababu muuza duka akanijibu WANATOZWA KODI KUBWA.HILI JIBU LIMENISIKITISHA SANA AISEE NIMESHANGAZWA NA HII SERIKALI INAVYOJITANABAISHA KUWA NI WA WANYONGE sasa sijui hao wanyonge ni wa MALAWI au TZ.
Hiyo ni inflation a.k.a Hidden taxUliuliza kodi ya kitu gani? Inawezekana ni kodi ya pango.
Hatamimi niliwahi fanya kazi kiwanda cha tiles mkuranga al maaruf KWA MCHINA pale tulikua tunapakia tiles zinakwenda nje ya nchi,kuna wakati wakenya walirudisha tiles semi trela 40 walidai hazina viwango,zikauzwa kwa bei ya hasara hapa hapa mkuranga,waliuza 40* 40 boksi sh 2500 mpaka zikaisha.
Ngoja niwasaidie kujibu kama wamenituma,:Tiles(Malumalu) wanatumia Matajiri /Majizi au wapiga dili.
Nawe ungeweka bei uliyotajiwa ingekua vyema zaidWaulizie tena kwa sasa 40x40 ni sh ngapi usikie.
Dar hakuna kiwanda cha tiles cha wachina,Mkuu wachina wamejenga viwanda vingi sana vya tiles Dar es salaam lakini cha ajabu bei ya tiles inazidi kwenda juu kila kukicha..
Duh apo kwl lazima hesabu iyumbe tena kwa speed yakimbunga Kenneth ..huku huku mikoani iyo 40 kwa 40 mwaka jana niliuliza ilikua 17000 nazan sasaiv itakua inakimbilia 25000Mwanzoni nilienda nilikuta wanauza 15,000 kwa box la 40x40 huku mkoani ila nimeenda jana nimekuta 21,000 kwa box NIMEUMIA SANA YAANI.
Duh apo kwl lazima hesabu iyumbe tena kwa speed yakimbunga Kenneth ..huku huku mikoani iyo 40 kwa 40 mwaka jana niliuliza ilikua 17000 nazan sasaiv itakua inakimbilia 25000
Chukua tiles za india [emoji1128] ni nzuri imara hutojutia na naona bei zao zipo sawa na mwaka jana tuAisee niliulizaga hizi tiles za 40x40 ili nimalizie ujenzi nimekuta zimepanda bei nikauliza nini sababu muuza duka akanijibu WANATOZWA KODI KUBWA.HILI JIBU LIMENISIKITISHA SANA AISEE NIMESHANGAZWA NA HII SERIKALI INAVYOJITANABAISHA KUWA NI WA WANYONGE sasa sijui hao wanyonge ni wa MALAWI au TZ.
Mchina 40*40 ni Tsh 34000Naomba mwenye kujua bei ya saizi zote anisaidie nataka nunua
Naomba bei mkuuChukua tiles za india [emoji1128] ni nzuri imara hutojutia na naona bei zao zipo sawa na mwaka jana tu
Bei ya jumla kwa arusha unapata kwa wakala ganiHiyo ni bei ya reja reja bei yangu ni kwa mawakala wao hiyo.
Hamna unyonge wowote kama kipindi. Kilichopita. Awamu ya NNE hata ujenzi wa MTU mmoja mmoja ulikua mzuri.
Bei ya hizi za India mkuuChukua tiles za india [emoji1128] ni nzuri imara hutojutia na naona bei zao zipo sawa na mwaka jana tu
Hatamimi niliwahi fanya kazi kiwanda cha tiles mkuranga al maaruf KWA MCHINA pale tulikua tunapakia tiles zinakwenda nje ya nchi,kuna wakati wakenya walirudisha tiles semi trela 40 walidai hazina viwango,zikauzwa kwa bei ya hasara hapa hapa mkuranga,waliuza 40* 40 boksi sh 2500 mpaka zikaisha.