Tim Martins mmiliki wa pub za Weatherspoon ni mmoja wa walipa kodi wakubwa nchi Uingereza

Tim Martins mmiliki wa pub za Weatherspoon ni mmoja wa walipa kodi wakubwa nchi Uingereza

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1675049204400.png

Tim hakua na uwezo mkubwa wa masomo darasani, kuna mtu alinisimulia kuwa jina la Weartherspoon lilikua jina la mwalimu wake aliyemtakia kwa hasira “Tim you’re good for nothing, you can not write essays nor manage solving mathematics questions “. Baada ya kuachana na masomo Ali hustle na pub yake ya kwanza aliipa jina la yule mwalimu kwani yale maneno yalimchoma sana moyoni.

Sasa hivi Weartherspoon ina matawi zaidi ya 1,000 nchi nzima na kuna chache zinaendesha huduma ya malazi kwa bei nafuu. Umaarufu wa pubs za Tim Martin unakuja kwa kuuza chakula kwa bei nafuu na wengi hununua pombe baada ya kula.

Tim ameajiri maelfu ya watu na mwaka 2020 alitengenezw faida ya zaidi ya £milioni 75,000 na kila mwaka anachangia £milion 123 katika pato la taifa kutokana na kodi.

Hakuna mjinga duniani ni kuwa wengine hawajatambua vipaji vyao na wengine wameshindwa kuviamsha.
 
View attachment 2499809
Tim hakua na quezon mkubwa wa masomo darasani, kuna mtu alinisimulia kuwa jina la Weartherspoon lilikua jina la mwalimu wake aliyemtakia kwa hasira...
Umechapia kweli katika andiko hili. Hata title tu...mlipa Jodi. Likely ulikuwa na haraka ulipolipandisha.

Ndiyo. Kipaji. Mazingira. Kuparangana. Elimu. Ngekewa. Vyote vina mchango wake katika kumfanikisha mtu. Na ukishindwa katika kimoja haina maana kuwa ndiyo umeshindwa katika vyote. Ni suala la kujituma tu na kutokata tamaa.

Hata Albert Einstein hakuwa mwanafunzi mzuri darasani na kwa muda mrefu alitukanwa sana kwa kutokujua kusoma na kuandika!
 
Hata Albert Einstein hakuwa mwanafunzi mzuri darasani na kwa muda mrefu alitukanwa sana kwa kutokujua kusoma na kuandika!
Underachieving school kids have long taken solace in the claim that Einstein flunked math as a youth, but the records show that he was actually an exceptional, if not reluctant, student. He scored high grades during his school days in Munich, and was only frustrated by what he described as the “mechanical discipline” demanded by his teachers.

When later presented with a news article claiming he’d failed grade-school math, Einstein dismissed the story as a myth and said, “Before I was 15 I had mastered differential and integral calculus.”

Kutoka History Channel
 
Back
Top Bottom