Timbulo Akamatwa Na Madawa Ya Kulevya Burundi Cheki Picha Za Tukio Hapa

Timbulo Akamatwa Na Madawa Ya Kulevya Burundi Cheki Picha Za Tukio Hapa

na wewe pia great thinker?hauna akili hata punje,mtu mwenye akili timamu hawezi kumuombea binaadamu mwenzake mabaya kiasi hicho.


wewe pia bebeo nini,inaonyesha jinsi ulivyo kilaza hadi kutojua tatizo la dawa hizi!!! inaonyesha jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kuanalyze mambo madogo
 
wewe pia bebeo nini,inaonyesha jinsi ulivyo kilaza hadi kutojua tatizo la dawa hizi!!! inaonyesha jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kuanalyze mambo madogo
wewe mwenyewe unauwezo gani wa ku analyze unaropoka tu kutafuta sifa na humu hakuna hata mtu aliyekusuport kwa kauli yako huyo nikijana mwenzetu hata kama kafanya kosa anatakiwa apewe adhabu ambayo itamfanya ajirekebishe sasa unavyotaka anyongwe atarekebisha vp makosa yake?usichotaka kikufike ww usitake kimfike binaadam mwenzako usiwe na tabia km hyo kuombea watu mabaya.
 
wewe mwenyewe unauwezo gani wa ku analyze unaropoka tu kutafuta sifa na humu hakuna hata mtu aliyekusuport kwa kauli yako huyo nikijana mwenzetu hata kama kafanya kosa anatakiwa apewe adhabu ambayo itamfanya ajirekebishe sasa unavyotaka anyongwe atarekebisha vp makosa yake?usichotaka kikufike ww usitake kimfike binaadam mwenzako usiwe na tabia km hyo kuombea watu mabaya.


Hua sina utaratibu wa kubishana na mpumbavu
 
du!aombe Mungu tu manake siku hizi nchi nyingi zinavalia njuga sana suala la madawa ya kulevya.
 
ni tamaa tu ya kupata pesa chap chap ndo imemfkisha hapa..wampe stahili yake
 
Bora angebaki kwenye taaluma yake ya UALIMU kwani ndio aliosomea
 
Jamaa si alikanusha na kusema picha hizo zmepatkana ktk muvi yake aliyoigiza
 
kwa burundi itaisha fasta ila km angekamatiwa rwanda tungemsahau!
 
Timbulo aja na Sina Makosa

Timbulo aja na Sina Makosa

na Elizabeth John

MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ally Timbulo ‘Timbulo' anatarajia hivi karibuni kuachia kibao chake kipya, ‘Sina Makosa'.

Licha ya kutaka kutoka na kibao hicho, Timbulo alishawahi kutamba na kibao chake cha ‘Samson na Delila', ambacho kilifanya vizuri zaidi katika vituo mbalimbali vya redio.

Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Timbulo alisema yupo katika hatua za mwisho za uandaaji wa kibao hicho, ambacho anatarajia kukiachia baada ya Sikukuu ya Pasaka.

"Namshukuru Mungu baadhi ya kazi zangu zimepokelewa vizuri na mashabiki, naomba mashabiki wangu wakae mkao wa kula kwa ajili ya kazi nyingine ambazo zinafuata," alisema Timbulo.


Alisema kazi hiyo ina ujumbe mzito na kwamba inafundisha na kuelimisha jamii bila kujali umri wa msikilizaji au shabiki wa kazi zake.

Timbulo alisema kibao hicho atakitoa pamoja na video yake kwa lengo la kuwapa burudani iliyokamilika mashabiki wake.
 
Back
Top Bottom