Timbulo amecopy wimbo wa Abdukiba??

Timbulo amecopy wimbo wa Abdukiba??

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Wadau baada ya Abdu kiba kutoa kibao chake cha Jeraha siku moja mbele Timbulo naye akatoa kibao chake akikiita Promise, Jeraha na Promise zina mashahiri yaliyofanana neno kwa neno! sikiliza hapa chini

Timbulo Promise



Abdukiba Jeraha



Je kipi kimempata Timbulo? Inawezekana yeye ndo mwenye idea ya wimbo na Abdu ndiye aliyekopi? Kama ni hivyo kwanini kaamua kuurelease ihali anajua kabisa kwamba kafunikwa?
 
Hapo watu wala hawawez ongea ingekua wcb mda huu watu wangekua wameshatoa mapovu
 
Wao waseme nani kawatungia hiyo nyimbo!!.. inawezekana kuna jamaa mtunzi kapiga pesa kwa wote wawili..hata hivyo na wao watakua mafalla wakigombea nyimbo mbovu kama hiyo
 
Hahahahaaaa wametisha aseee
Its unique

Nahs km lakupangwa hili
 
Ingekua wasanii wa WCB Ndo wamefanya hvyo aiseeeee sipatii picha hayo mapovu
 
Sijaona tatizo kama wameuamua hivyo,kama either mmoja wapo ameona kadhulumiwa aende BASATA/COSOTA akatoe malamiko yake watamsaidia.
 
Back
Top Bottom