Timbulo amtumia salam Vanessa Mdee, amuambia kama alikuwa hamjui basi keshamjua

Status
Not open for further replies.
Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Heeeh wewe, umejuaje??? Kwahiyo kiuno chake kimeungana na magoti!!!
 
huyo jamaa hajui kuimba anabahatisha tu,btw v nae ana mashauzi.
 
Pale jux sijui karizika na nini?
Kidogo ashagonga mfupa
 
Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Hahahha .. Nadhani hata Mungu ame smile kuona hii comment japo siyo nzuri.
 
Mwanamke mwembamba kama anaumwa, hana hata pa kushika eti "model" kweli utandawazi una mambo, hata wabaya nao siku hizi wanajiona wazuri, eti nao wanaringa.
Poo!
 
Vannesa ni Beyonce wanna be [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kila shetani na mbuyu wake maana mimi chick dizaini ile hata 30 mins ziwezi kukaa nae naweza nikamchapa makofi kabisaaaa iwe shida.
 
Wasanii karibia wote hawapendani wala kusaidiana, wana ubinafsi na mashauzi mengi.
Wanawake wanafanana. Juzi tuu Vee alikua hajui kubana hata kwenye gari unakula leo hii eti nae amejua kuringa. Kwa utamu ni kalikua katam sasa hizi mambo zakujifanya mzungu kanaweza kakawa feki kweli
 
Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Tako analo ila ndio tunaita FLAT SCREEN au BOMBAY STYLE
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…