Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

Time travelling kusafiri mbele au nyuma ya muda inawezekana?

Ivi wakuu Kuna uwezekano wa kua na time travel without parallel universe
 
JAMANI HUKU NDANI MSHASIKIA KUHUSU TIME TRAVELLING?

Kusafiri mbele au nyuma ya muda?

Mfano wa yule mtakatifu miaka ya juzi aliyeweza kusafiri nyuma ya muda hadi miaka 2000 iliyopita kuhudhuria chakula cha mwisho bwana yesu alichokula na wanafunzi wake na pia kuhudhuria kusulubiwa kwa bwana yesu

Vipi kuhusu raia wa uswis ambaye amesafiri mbele ya muda hadi mwaka 2042 na kushuhudia dunia itakavyokua na akapiga na picha?

Vipi kuhusu mwaka wa 1992 wakati wa pambano la mike tyson yule aliyeonekana na smartphone kali kama hizi za samsung akicharaza photo kama kawaida wakat smartphone zimegunduliwa miaka hii tu jee mtu huyo alisafiri mbele ya muda kutoka 1992 hadi 2020 katika zama za smartphone?

Vipi kuhusiana na cds zilizokutwa mwaka 1704 wakati cds zimegunduliwa miaka hii tu jee hao watu waliokua na cd miaka hiyo walitoa wapi hiyo teknolojia miaka hiyo au walisafiri mbele ya muda yaani kutoka 1704 hadi miaka hii yetu ya kutumia cd?

Vipi watu walioweza kusafiri nyuma ya muda na kurudi utotoni kuhudhuria matukio mbalimbali ya utotoni?

Guys hii mada imekua jambo zito mnooo


*mimi naomba mnijuze kwanini nchi za magharibi na dunia wanapambana usiku kucha hawalali kuhakikisha hii sayansi ya time travelling haifanikiwi hata kufikia hatua ya kuwashughulikia na kuwanyamazisha wanasayansi wanaotafiti kuhusu hili jambo la time travelling?

Jee huenda hii time travelling ni siri ya mataifa makubwa au ajenda ya wachache ambao huitumia kwa faida zao tu huku wakipambana isijulikane?*

Tuwaze kwa pamoja
Top lemon bei gani?
 
JAMANI HUKU NDANI MSHASIKIA KUHUSU TIME TRAVELLING?

Kusafiri mbele au nyuma ya muda?

Mfano wa yule mtakatifu miaka ya juzi aliyeweza kusafiri nyuma ya muda hadi miaka 2000 iliyopita kuhudhuria chakula cha mwisho bwana yesu alichokula na wanafunzi wake na pia kuhudhuria kusulubiwa kwa bwana yesu

Vipi kuhusu raia wa uswis ambaye amesafiri mbele ya muda hadi mwaka 2042 na kushuhudia dunia itakavyokua na akapiga na picha?

Vipi kuhusu mwaka wa 1992 wakati wa pambano la mike tyson yule aliyeonekana na smartphone kali kama hizi za samsung akicharaza photo kama kawaida wakat smartphone zimegunduliwa miaka hii tu jee mtu huyo alisafiri mbele ya muda kutoka 1992 hadi 2020 katika zama za smartphone?

Vipi kuhusiana na cds zilizokutwa mwaka 1704 wakati cds zimegunduliwa miaka hii tu jee hao watu waliokua na cd miaka hiyo walitoa wapi hiyo teknolojia miaka hiyo au walisafiri mbele ya muda yaani kutoka 1704 hadi miaka hii yetu ya kutumia cd?

Vipi watu walioweza kusafiri nyuma ya muda na kurudi utotoni kuhudhuria matukio mbalimbali ya utotoni?

Guys hii mada imekua jambo zito mnooo


*mimi naomba mnijuze kwanini nchi za magharibi na dunia wanapambana usiku kucha hawalali kuhakikisha hii sayansi ya time travelling haifanikiwi hata kufikia hatua ya kuwashughulikia na kuwanyamazisha wanasayansi wanaotafiti kuhusu hili jambo la time travelling?

Jee huenda hii time travelling ni siri ya mataifa makubwa au ajenda ya wachache ambao huitumia kwa faida zao tu huku wakipambana isijulikane?*

Tuwaze kwa pamoja
Time travel yah IPO kwenda mbele ya muda lala then ukiamka kesho utakuwa umekwenda future
Ukitaka kurudi back kaaseemu tuliivu vitapicha ya matukio ya Jana so apo utakuwa umecheza pande zote za time line
ZAIDI YA HAPO NI UZUSHI
 
Time travel yah IPO kwenda mbele ya muda lala then ukiamka kesho utakuwa umekwenda future
Ukitaka kurudi back kaaseemu tuliivu vitapicha ya matukio ya Jana so apo utakuwa umecheza pande zote za time line
ZAIDI YA HAPO NI UZUSHI
😂😂😂😂😂😂😂😃
 
Hakuna time traveling ila kuna kusafiri kkimiujiza
Mfano unatoka Dar to Mwanza bila gari, wala nini ni unafumba macho na kufumbua

Sent from my ZTE BLADE A512 using JamiiForums mobile app
 
Tekinologia gani inafaa kufanya time travel, na hiyo time travel unaifanya kuelekea wapi? Ukijuiliza baadhi ya maswali unagungua kuwa hakuna kitu kinachoitwa time travel.
mda unategemea vitu viwili yani dunia kulizunguka jua na dunia kujizungusha katika muhimili wake.
Time travel ni ndoto tu.
Time travel ipo ila niyakurudi nyuma ya wakati siyo kwenda mbele ya wakati ...genias sibahatishi
 
Hakuna hata haja ya kufafanua time traveling bali afafanue time Kama time Kisha aonyeshe ni kivipi au ni katika namna gani inawezekana time traveling..?

Binafsi nachoona hili jambo ni mkanganyiko sana ktk namna ya kulielewa!, nadharia alizozielezea hapo sijui Kama zinawezekana!. Maana kwa namna alivyoelezea yaonyesha Kama muda ni vipande vya mkate! Yani hivyo ndo vinamatukio yalivyo so ni kama mkanda wa VHS yani ukiwa unaangalia muvi tukio lililopita hiyo ni past,tukio lililopo hiyo ni present na tukio lijalo hiyo ni future.

Tunapozungumzia time moja kwa moja tunaigusa space.. na space sidhani Kama inakitu cha namna hiyo cha kunakili matukio kana kwamba ukirudi nyuma au ukienda mbele utayakuta!! Sidhani hili Kama lipo..
Time traveling ambayo ni simpo na nayoielewa ni mfano wa barafu inavyoweza kugandisha kitu kisiharibike kwa wakati huu na hicho kitu unaweza kukitumia baadae!. I mean Kama utaweza kumuweka samaki ktk barafu na akakaa miaka 5 na wakati alitakiwa aharibike so kwa kuweza kumtunza akakaa miaka hiyo mitano bila kuharibika hiyo mi ndo naita time traveling!. So Kama kutapatikana teknolojia ya kuweza kumfreez binadamu then ukaja kumuamsha hata baada ya mwaka mmoja au mia akiwa vilevile basi hiyo ndo naita time traveling!.. hichi kitu naona kitakuja kuwezekana.

Time traveling kwa future naona ni concept inayowezekana ila ya past naomba hapo nikuambie tu sijui na hapa ndugu yangu chukua pop corn nakuwekea na haka ka burudani ujifurahishe..😂
View attachment 1973641

Watu wanachanganya concept za movie na zile za uhalisia!,time traveling bado haijaweza kudadavuliwa kwa 100%. Zaidi ni nadharia but practically mazingira bado ni magumu.. tukija kwenye nadharia za Albert Einstein Kuna vitu viwili vinaweza kuathiri muda navyo ni speed na gravity. Nakubaliana nae sasa ktk speed hii concept naielewa lkn mpk mtu kufikia hatua ya kupatikana ile effect ya time traveling na kuona kabisa huyu kafanya time traveling into the future ni aidha asafiri ama Kama spidi ya mwanga au karibu na spidi ya mwanga!! Mpaka Sasa hatujaweza kutengeneza kifaa cha namna hiyo ila hii concept ukiifatilia vizuri utaelewa ni kivipi spidi inaathiri muda so nenda kacheki utaelewa vizuri sana.

Gravity hii nayo inaathiri muda pia lakini hii pia mpk kuona moja kwa moja kuwa mtu huyu ame time traveling ni ngumu maana inahitajika gravity kubwa Sana ambayo inapatikana kwenye ma black holes huko.. nako ni mbali kinyama kufikia huko na aidha ukiingia unaweza usitokemo na ukiweza kutoka basi utakuta ni miaka mingi imepita huku duniani hivyo utakuwa ume time traveling into the future. Hapa nimeelezea kwa uchache sana ila fatilia time traveling ya kwenye vitabu vya fizikia achana na muvi utachanganyikiwa bure!

Nenda YouTube search Brian Greene huyu kazielezea hizo concept kiundani zaidi Kama ilivyodadavuliwa kisayansi kabisa na nguli wa fizikia Albert Einstein.
Matukio yamenakiliwa kwenye mwanga ndiyo maana unatakiwa kwenda kwa speed zaidi ya mwanga ili kurudisha nyuma hiyo VHS ...TUMIA AKILI
 
Umetudsnganya ukirudi nyuma ya wakati uwezi kurekebisha chochote bali unaweza kutumia kurudi kwako nyuma ya wakati kujua matukio yali kwenda je kama cctv unavyo itumia baada ya kuibiwa mali yako na aujui ni nani kakuibia hivyo unakwenda kwenye cctv na kupata majibu nini kilitokea
Kwa mfano ukirudi hadi mwaka ulipofanya necta ya form 6 utakuwa umondoka at your present na umekwenda kwenye past yako. Of which sasa ukiwa hapo kwenye mwaka wa kupiga pepa your previous present become your past na your previous past now itakuwa your existing present.

Therefore, wewe utakuwa upo katika wakati ambao upo wewe mara mbili sasa sababu haukuondoka huo mwaka uliopo bali umejikuta kabla ya kufanya mtihani.

Sasa hapo labda ujiteke ukapige pepa fasta fasta kisha usepe na kurudi at your current present of which by the time umeondoka na kwenda wakati kabla haujapiga pepa imekuwa ni past yako wewe uliyesafiri kurudi nyuma ya muda.

Shida ni moja sasa tufanye ulienda mwaka 2010 kurekebisha makosa ya form 6 then ukirudi mwaka 2021 ,yale matokeo yatabadili trend ya past yako ambayo itaathiri present yako.

Usishangae unafika mwaka 2021 unakuta kuna vitu vimetokea na wewe u are not aware. What if ulipofaulu form 6 ikafanya upate sponsorship ambayo currently haujui lolote kuhusu.

What if ile sponsorship ilikufanya kuwa mtu mwenye mafanikio sasa. So kitakachotokea ni kwamba utaporudi utarudi katika dunia yenye maswali ambayo wewe hujui chochote kuhusu. Maana ulichobadili nyuma kinakwenda kubadilisha trend ya maisha yako na kila kinachokuzunguka.

So utakuwa kama ile movie inaitwa hangover. Jamaa wanaamka halafu hawaelewi nini kilitokea jana yake so wanaanza kupekua

Sasa utashangaa umerudi mwaka 2021 unakutana na mtu anakuita shemeji ulikuwa wapi unasubiriwa hospital mkeo ameshajifungua.

Mara unakutana na mtu anakuita boss mbona umeondoka tokea jana hatujui upo wapi kazini unatafutwa.

So imagine hiyo complication itabidi uanze blend katika maisha ya tofauti kabisa ambayo haukuwapo awali.
 
ivo tu. nop. If you were traveling at the speed of light you could fly around the world 7 and a half times in one second. hii ni along the earth surface inamaana kwa 2 seconds utazunguka mara 14 utakuwana uko speed kubwa tu bac. sasa kwa speed hii along to the space sijui nn kitatokea lakin huwez ona kitu chochote kuhusu past wala future.
Wacha ujinga wewe uliza tukuelimishe
 
i understand but kama hauna background nzuri ya physics no matter how hard mtu atakuelezea ni ngumu sana kuelewa kwa sababu ni kitu kigumu sana kukiweka into practical, but theorotically it is ok
Mbona rahisi sana kumuelezea mtu hata mtoto wa cheke chea 😁
 
Swali - Kwani dunia tunayoishi ni hii hii ya ulimwengu huu au kuna madunia mengine nje ya ulimwengu huu? Labda Kuna dunia nyingine wapo mbele yetu au nyuma yetu kimaisha.
 
Matukio yamenakiliwa kwenye mwanga ndiyo maana unatakiwa kwenda kwa speed zaidi ya mwanga ili kurudisha nyuma hiyo VHS ...TUMIA AKILI
punguza movie soma nakala sahihi.
 
punguza movie soma nakala sahihi.
Tumia akili ..mfano upo duniani leo ukatazama angani ukaona nyota ya mbali sana inalipuka basi upo uwezekano hiyo nyota ililipuka miaka mingi iliyopita ila wewe ndiyo unaona mlipuko leo ..maana yake kama kwenye hiyo nyota kungekuwa na binadamu labda wanaishi na wewe kutizama na darubini yenye nguvu kuwa hadi kuwaona hao binadamu leo ujue hicho unachokiona ni kitu kilicho tokea miaka kadhaa nyuma ...mbona ni mahesabu ya distance and time and speed tu
 
Back
Top Bottom