Timothy Weah, mtoto wa Rais George Weah aliyejikita kusakata kabumbu na kutayarisha muziki

Timothy Weah, mtoto wa Rais George Weah aliyejikita kusakata kabumbu na kutayarisha muziki

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
2495582-51810350-2560-1440.jpg

Timothy Weah, huyu ni raia wa marekani ila kwa kuzaliwa ,ila baba ake ni raia wa Liberia, Huyu Timothy ni mtoto wa rais wa Liberia ila leo mtoto wake aliitetea Marekani katika kombe la Dunia2022.

Timothy ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki (Producer) ila hii kazi ufanya kwa muda wake kozi ni kitu ambacho anakipenda so akimaliza kusakata kambumbu ujikita studio au nikupe hit ambazo ashatengeneza.

Mjadala ni huu, mtoto wa rais anawezaje kucheza mpira na kwanini hakujikita labda kwa siasa daah hii ni moja kati ya kitu kinachofikirisha sana na huyu kijana ni kijana wa kuigwa mtoto anajipambania ategemei cha baba kuwa ni mkuu wa nchi.

Je, kwa bongo inaweza kutokea hii aah☝️😁😁😁
Kwa bongo haiwezekani.
Baba akiwa mwenyekiti mtoto lazima awe katibu
Blessing nyingi kwa @Timothyweah
Ubarikiwe sana umetupatia Elimu.
Imeandaliwa na @kimodomsafi_ ✍

#tabataworkout
 
Huyo ni mboga Saba so hakuna la kushangaza

Kwenye mpira anatembelea juna la babake.

Hata hizo Hela za kununua hayo mamitambo ya muziki usikute babake katupia.

Hajakulia ushenzini huyo babake alikuwa analipwa vizuri enzi analisakata kabumbu AC Milani na huko ufaransa.

Japo anajitahidi ila sio hustler kivile basi tu mazingira yana mfeva
 

Timothy Weah, huyu ni raia wa marekani ila kwa kuzaliwa ,ila baba ake ni raia wa Liberia, Huyu Timothy ni mtoto wa rais wa Liberia ila leo mtoto wake aliitetea Marekani katika kombe la Dunia2022.

Timothy ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki (Producer) ila hii kazi ufanya kwa muda wake kozi ni kitu ambacho anakipenda so akimaliza kusakata kambumbu ujikita studio au nikupe hit ambazo ashatengeneza.

Mjadala ni huu, mtoto wa rais anawezaje kucheza mpira na kwanini hakujikita labda kwa siasa daah hii ni moja kati ya kitu kinachofikirisha sana na huyu kijana ni kijana wa kuigwa mtoto anajipambania ategemei cha baba kuwa ni mkuu wa nchi.

Je, kwa bongo inaweza kutokea hii aah☝️😁😁😁
Kwa bongo haiwezekani.
Baba akiwa mwenyekiti mtoto lazima awe katibu
Blessing nyingi kwa @Timothyweah
Ubarikiwe sana umetupatia Elimu.
Imeandaliwa na @kimodomsafi_ ✍

#tabataworkout
Timothy weah ni sure boy by nature kazaliwa kiwanja acha ale matunda ya baba yake George weah the only African football player to won the ballon d or kazaliwa kiwanja is American black by birth ila George weah mnyama sana hajaoa mzungu bhana pamoja nakukaa ULAYA miaka mingi sana
 
Hata Lemutuz hakutegemea cha baba yake, alijitafutia mwenyewe.
Baba yake akiwa waziri yeye alikuwa anazunguka majini na mimeli bila kusahau kuendesha malori ya kubeba taka huko USA.
 
Hata Lemutuz hakutegemea cha baba yake, alijitafutia mwenyewe.
Baba yake akiwa waziri yeye alikuwa anazunguka majini na mimeli bila kusahau kuendesha malori ya kubeba taka huko USA.
Lemutuz lepumbul
 
Back
Top Bottom