Mimi ni mtu mzima mkuu, naweza nikawa nimeanza kufuatilia mpira hata kabla yako....pamba naijuwa vizuri sana enzi zile miaka ya 90..lakini kwa sasa tutadanganyana tu sidhani kama itakuwa na mashabiki wengi...
Binafsi top 3 yangu ni hii
1 Yanga
2 Simba
3 Azam