timu 10 za mpira zenye washabiki wengi Tanzania

timu 10 za mpira zenye washabiki wengi Tanzania

Hiyo azam ni kama mbeya city mashabiki zake maybe wale wanaoanza mishabiki zao ni wanaonza kufwatilia mpira nowadays

Mimi ni mtu mzima mkuu, naweza nikawa nimeanza kufuatilia mpira hata kabla yako....pamba naijuwa vizuri sana enzi zile miaka ya 90..lakini kwa sasa tutadanganyana tu sidhani kama itakuwa na mashabiki wengi...


Binafsi top 3 yangu ni hii

1 Yanga
2 Simba
3 Azam
 
Back
Top Bottom